Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
salama huku pia sweetie 🥰Tuko poa sana dear!! Vipi wewe;!
salama huku pia sweetie 🥰Tuko poa sana dear!! Vipi wewe;!
Yaan ile siku aliniwezajeeee?Ushapiga hesabu ndefu yee analeta za kukuungia!









Na wazazi wa huyo mmeo nao watatokea kuhudhuria harusi? unachozungumza ni uongo na kila mtu anafahanu hata shoga yako humu anafahamu na ana ku enjoy tu, hakuna kitu kama hicho...Tena atakuwa ana tabasamu mnooo, mama na dada zangu ndo wana gala gala chini kwa furaha, mtoto wao nakua rasmi Mrs Fulan,
C unajua Wangoni kwenye masuala ya ndoa? Hatuna mbambamba, tumenyooka km rulaaaaa.
![]()
Babuuu fafanua kwan eti.
Asante kwa kutukumbusha Babu
Ok! well...Ushapiga hesabu ndefu yee analeta za kukuungia🤣🤣😄😄!
Marahaba mjukuu. Uko poa wewe?Asante kwa kutukumbusha Babu
ni hatari aisee
Shikamoo Babu



Na wazazi wa huyo mmeo nao watatokea kuhudhuria harusi? unachozungumza ni uongo na kila mtu anafahanu hata shoga yako humu anafahamu na ana ku enjoy tu, hakuna kitu kama hicho...







nimechekaaaaa mnoooooo uwiiiiiiiiiii!!!! 







Mkuu nakubaliana na hii taarifa/statistics bila kupepesa macho..
Nisamehe bure babu , nilisahauMarahaba mjukuu.
Ile vocha yangu ndo ulipotezea mazima ama? Unafikiri nimesahau?![]()
Sasa mimi niteseke kwa sababu yako? we ndio hujiamini, usizungumzie nafsi yangu, kwa maisha nilioishi/ninayoishi nije niteseke kisa wewe? are you serious? mi nimekuuliza tu maswali ya kawaida ambayo yanahitaji majibu, mambo ya mimi kuteseka yanaingiaje mwanaume mwenzangu unaetaka kuolewa?nimechekaaaaa mnoooooo uwiiiiiiiiiii!!!!
Sasa if sio serious, why wee unakua bitter hivyooo?? Unaniachaga hoi sanaaaa.
Dunia pana hii iko zaidi ya uijuavyoooo, nikupeee poleeee kwa kujipa umuhimu na venye hamna. C utulie sasa nainjoiwa mie wee ndo utesekee kweliiii?
Karibu sanaaa siku ya tukiooo utakulaa na kunywaaa pilot, unakwamaa wapiiii?
![]()
Ok! well...Selfikeni basiiiii!!
Asante kwa kutukumbusha msukuma!
1 slice of bread? Lizzy?
Achana na maisha ya watu pilot! Haya Jibu Ok well 😎!!Ok! well...
Mi sio mnafiki..Achana na maisha ya watu pilot! Haya Jibu Ok well 😎!!