cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,298
Kuna siku mtu aliniungia kifurushi cha 30k japo hela ilikua yake, nkamchambaa akomeee, hela anipe niunge mwenyewee.Ndo nikupigie tuzimalize ndani ya siku 3 Lenie View attachment 2432301
Ningeunga 10k, 20 ningetoa ningeweka bill ya mihogo na kachumbali kwa mama swaumu,






Naijua pesa kuliko hata inavyojijua enyewe. Uwiiiiiiih



