Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

wakati nipo 1St na 2nd yr, niliwatapeli sana watu mtandaoni.

Hata JF enyewee wako wawili, mwanzoni walinipapatikia khaaah nkawa saulaa m1 alintumiaga 80k ya kutumia, afu baadae ananambia tukutane ubungo plazaaa nkamchanaaa,

Mwingine alintumiaga 60k, huyu ndo anakujaga had PM kuniambia kuhusu hela, huwa namuambiaga utangazie umma wa jf mie tapeli,. Anajibu "wee chizi ulivyo huna akili utanidhalilisha bureee"

Na sibadili acc wala jina,. Afu sijariiii yaaan. Nakutana nao kwenye nyuzi zingnee.
🤣🤣🤣🤣 Nacheka kama mazuri walaii shoss wewe 🙌🙌🙌🙌!!!
 
wakati nipo 1St na 2nd yr, niliwatapeli sana watu mtandaoni.

Hata JF enyewee wako wawili, mwanzoni walinipapatikia khaaah nkawa saulaa m1 alintumiaga 80k ya kutumia, afu baadae ananambia tukutane ubungo plazaaa nkamchanaaa,

Mwingine alintumiaga 60k, huyu ndo anakujaga had PM kuniambia kuhusu hela, huwa namuambiaga utangazie umma wa jf mie tapeli,. Anajibu "wee chizi ulivyo huna akili utanidhalilisha bureee"

Na sibadili acc wala jina,. Afu sijariiii yaaan. Nakutana nao kwenye nyuzi zingnee.
Mi nakutaman
 
Wow camera nzuri .
unaona kila kitu vizuri .
niliona watu wanaisifia sana
hata Nokia yupo vizuri kwa Camera .
Ndio simu zipo nyingi zina camera nzuri sana, kama unatokea kwenye Tecno sio lazima uwe na iPhone, kuna simu kama Xiaomi Redmi Note 10 Pro, ukiwa na Tshs 400,000/350,000 unapata na zina camera nzuri sana,
 
yaan mitandaoni watu wanatapeliwa sana, ukiwa na customer care nzuri na mpangilio waa mtego!! una wasaulaaa haswaaa.
Wee ni Chizi ujue akili zako unazijua mwenyewe Hakyanani Nimechekaaaaa!!!🤣🤣🤣🤣
Mi mtu ntaekutana nae live hawezi amini kama ni mie wahapa! Ni mkimyaa sana afu hata siongei kiivo plus yani sina mbwembwe kama za nyuma ya keyboard kabisa!
 
Wee ni Chizi ujue akili zako unazijua mwenyewe Hakyanani Nimechekaaaaa!!!
Mi mtu ntaekutana nae live hawezi amini kama ni mie wahapa! Ni mkimyaa sana afu hata siongei kiivo plus yani sina mbwembwe kama za nyuma ya keyboard kabisa!
shougaaaaa nimeachaaaaa mie.
 
Mselfike sasa
Anzaa wee, ukiambatanishaa na vochaaaa.

Ko kunipelekaaa Golden Tulip na kuniacha palee hotelin, sijapendaaa kwa kweli. Ulitaka nife njaa bill ikikataaaa?

,haya sasa unipage vocha Mr akee na cocaa.

Jf ya moto, haiboi haichoshi. Uwiiiiih
 
Anzaa wee, ukiambatanishaa na vochaaaa.

Ko kunipelekaaa Golden Tulip na kuniacha palee hotelin, sijapendaaa kwa kweli. Ulitaka nife njaa bill ikikataaaa?

,haya sasa unipage vocha Mr akee na cocaa.

Jf ya moto, haiboi haichoshi. Uwiiiiih
😁😁😁😁🤣🤣

Ukija na mbwembwe zako unapokelewaaa vizuriiiiii unatulizwaaaa kwanzaaa tulia wewweee😁😁😁😎🤣🤣🤣🤣 jf 🙌🙌🙌🙌😁😁🤭🤭
 
Nikarare sasa lol nane kasoro hii😴😴😴😴😴😴😴 it Kesho nayo ni siku 😴😴😴😴😴😴😴😴😴
 
Back
Top Bottom