Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
🤣🤣🤣🤣 Nacheka kama mazuri walaii shoss wewe 🙌🙌🙌🙌!!!wakati nipo 1St na 2nd yr, niliwatapeli sana watu mtandaoni.
Hata JF enyewee wako wawili, mwanzoni walinipapatikia khaaah nkawa saulaa m1 alintumiaga 80k ya kutumia, afu baadae ananambia tukutane ubungo plazaaa nkamchanaaa,
Mwingine alintumiaga 60k,huyu ndo anakujaga had PM kuniambia kuhusu hela, huwa namuambiaga utangazie umma wa jf mie tapeli,. Anajibu "wee chizi ulivyo huna akili utanidhalilisha bureee"
Na sibadili acc wala jina,. Afu sijariiii yaaan. Nakutana nao kwenye nyuzi zingnee.![]()



