Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Huku sie tukiona macho matatu , hao tunadata 😂😂Ndio simu zipo nyingi zina camera nzuri sana, kama unatokea kwenye Tecno sio lazima uwe na iPhone, kuna simu kama Xiaomi Redmi Note 10 Pro, ukiwa na Tshs 400,000/350,000 unapata na zina camera nzuri sana,
Redmi iko poa sana
niliona sehemu na bei zake sokoni ni rafiki mno .





