Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwanza kaa ukijua hakuna mtu hapendi maisha bora, hakuna maisha bora hakuna pesa tusidanganyane, ukiwa na pesa una afford better life, kingine kibailojia wanawake wanapenda wanaume ambao wapo stable financially kwa sababu ya watoto wake waishi vyema.

Mwanaume ni tofauti ye haangalii pesa ana vutiwa na muonekano, munekano mzuri ni kiashiria cha afya, hii ina improve afya ya watoto wake , pia muonekano wa mwanamke inaongeza hamu ya tendo(libido) kwa mwanaume kuweza kumpa mimba mwanamke na kuanzisha kizazi... Kumbuka hiki kitu hufikirii bali ipo kwenye DNA, ni programu ipo ndani...

Sasa we unaongea kama nani?
Ushaanza na propaganda zako za uongo hapa, ko ulikua kmya kwa muda ku type hivi?

Nipe reference za madai yako hayo kuwa biological mwanamke anataka mwanaume aliye vizuri financially ili watoto wazaliwao wawe bora, bas huko vijijini watu wasingeolewa na kuzaa, au watu maskini wasingeoa na kuitwa baba.

Hiyo paragraph ya pili at least kidogo ina mashiko nako si sanaaa,

Kuhusu kuongea naongea mie km mie,
 
Vijana wa Sasa mna moto!! Kwaiyo ulikuwa unataka ukunjwee kunjwee haswa haswa.

Lakini mtu mwenyewe unakunjika au mbwembwe! Au nikama yule kondoo tu wa Gwaji Boy.
Habari wanaijua walio wahi kunikulaaaa,

Sijawahi kufail ktk mizagamuo, uno la uzazi, kilio na mguno utadhan mama yuko labour, sauti sasa Ruby akaanze upyaa.

Niwacheeeeeee.
 
sikufichi mie mtu akivaa suti sijui official hata hisia zinakataaaa, khaaaaaah
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!👈👈👈👈👈👈😁😁😁😁🤣🤣🤣!! Mbavu zangu cocaaaaa🤣🤣😁😁😁🤣!! Fleva zako nazielewaaa Shoss
 
Back
Top Bottom