Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Very long long time my dear. How have you been? Angalau tunapumua sasa
Very long long time my dear. How have you been? Angalau tunapumua sasa
Baada ya kupotea umeamua urudi na mbogamboga Mama Pasta.Hellooooo selfikaaaaView attachment 2430488
😂😂😂 zamu yangu itakuja lini?Zamu yako bado kibungo tulia 🤣🤣
Ndio kwaanza kumekucha hata chai hatujanywa
Mbogamboga zimenirudisha kundini. Ulimissika mdogo ake WigeBaada ya kupotea umeamua urudi na mbogamboga Mama Pasta.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo umeamua kunisakizia niwe mdogo wa wasukuma kweli!Mbogamboga zimenirudisha kundini. Ulimissika mdogo ake Wige
Hii blaza blaza hii kuna kitu nanyimwa hapa muda si mrefu😜Na mimi naomba vocha blaza😛
Emu sugua gaga kwanza, sio kirahisi rahisi hivi.😂😂😂 zamu yangu itakuja lini?
Kuna mambo kadhaa sijaona hapo na ndo tunaambiwa ni dhambi kubwa, kumbe ni uongo hata kutajwa haijatajwaaaaaaa.








🤣Emu sugua gaga kwanza, sio kirahisi rahisi hivi.
Ukiqualify utakua next....😛😛
HallelujahVery long long time my dear. How have you been? Angalau tunapumua sasa
Eeh kaa tu na wasukuma hukoKwahiyo umeamua kunisakizia niwe mdogo wa wasukuma kweli!
Mbogamboga ndo muda wake wa kutrend huu.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
AmeeeeenHallelujah
Nakunyimaje na wewe wa kwetu kabisa njia moja😅Hii blaza blaza hii kuna kitu nanyimwa hapa muda si mrefu😜
Vocha si najua pa kuweka ama?
Hello mama mchungaji👋Hellooooo selfikaaaaView attachment 2430488
Kumbe na Golden Tulip tumefika?
Mimi nilidhani tuliishia Johari Rotana
Lakini si nilikuachia mshiko wa kutosha bill isingekata bana
Vocha pa kuweka napajuaa...






Gilden tulip ma daddie tulikuwepooo tena kule VVIP, uwiiiiiiih. 







babeeee 










All the best kibungo 🤣🤣🤣🤣
Ngoja nitafute desa la qualifications
Pisi yenyewe si ni hii cocasticNakunyimaje na wewe wa kwetu kabisa njia moja😅
Ila unitumie bando la mwezi maana siku hizi sijui umetekwa na pisi gani huchelewi kupotea hewani.
So hata ukipotea mwezi mzima me nadunda tu mtandaoni
Woooooooooowwwwwwwww!!!!! Mama maleziiiiii ur welcomeee.Hellooooo selfikaaaaView attachment 2430488










Ye mwenyewe akija hapa atanikanaEeh kaa tu na wasukuma huko
💚 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚