Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hii blaza blaza hii kuna kitu nanyimwa hapa muda si mrefu😜
Vocha si najua pa kuweka ama?
Nakunyimaje na wewe wa kwetu kabisa njia moja😅

Ila unitumie bando la mwezi maana siku hizi sijui umetekwa na pisi gani huchelewi kupotea hewani.
So hata ukipotea mwezi mzima me nadunda tu mtandaoni
 
Kumbe na Golden Tulip tumefika?
Mimi nilidhani tuliishia Johari Rotana

Lakini si nilikuachia mshiko wa kutosha bill isingekata bana

Vocha pa kuweka napajuaa...
Gilden tulip ma daddie tulikuwepooo tena kule VVIP, uwiiiiiiih.

Hela unaambiwaa uliniachia kidogo, sasa sijui wenzangu huwa unawapaga nyingi. Mie wa kuomba msaada kwa manager afanye mpango nirudi Dar,

Nimekomaa kudate na kibosile weyeeeee huhuhuh.

Vochaaaa unipe ya kueleweka, mie c ndo Main chick na umma wote unajua, ko unipe stahiki angu hapooo.

Next unipelekeeee babeeee

 
Back
Top Bottom