cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
unaniua mbavuu coca mpi
!! Ulijuajee Hapo leo nimekaa zangu Dining nasimamia pepa
. Nilpiga nimekaa ya kusimama sijapiga







yaaan hilo tenge km mpishi wallahKhaaaaah
unaniua mbavuu coca mpi
!! Ulijuajee Hapo leo nimekaa zangu Dining nasimamia pepa
. Nilpiga nimekaa ya kusimama sijapiga







yaaan hilo tenge km mpishi wallahMmh Jana tu nimetoka kuambiwa nina kichwa kipana .
kichwa chako kizuri kidogo dogo








nilitamani kukuambia kitu, ila utanichekaaaaa.🤣🤣🤣mie mtu wa kujilipuaaa, afu sijari wala nn
Sijui tutakuwa wageni wa nani
shukrani
camera Ile
wa kawaida ,ni vile filter inatusave lakini huyo Bilionea anaitaka kuichukua dah .



Thank you very muchHaapana its okay hata camera za simu (iphones, samsung, huawei etc)zina software ambayo ni built in inaweka filter kwa kiasi fulani, kutumia filter sio ku cheat, its okay
![]()
Uwiii mbona sio vitu vyangu dyadyaaaa
Ila hapo at least no 4&9,, the rest akinitongo.za saa 1 kamili asubuhi, saa 1 na dk 5 ashakula block 🥹







nyiee nacheka km chiziiiii. Jaman mbna mie naposema niweke miguu nikae naonekanà sio penyeweee. Sema tu dearnilitamani kukuambia kitu, ila utanichekaaaaa.
Hata iphone ina filter kwenye camera, hakuna mtu hatumii filterThank you very much
natamani wabongo wengi tungekuwa na mtazamo huo .
Sasa iPhone wanaikubali na sio Snapchat .
Inabidi turudie enzi hizo
Thank you naonaga picha inatokea vizhri kwa simu hizoHata iphone ina filter kwenye camera, hakuna mtu hatumii filter
Sasa kuna jamaa huyo had leo huwa nataman nimpatee nimuombe msamahaaa, altoka mwanza kuja Dar, nlichomfanyia uwiiii.
Kha roho inakuwa haikusuti ?







Saivii Form 3 ...Leteee haraka ni 4m gan?
Ok unapata neno
Neng'eneka tu huko bahati mbayaWivu tu unamsumbua
Ajitulize Kwa Wige![]()
Nlimkatalia genius kunifanyia assignment,Sema tu dear
sitocheka , trust me![]()













nlicheka km chiziiiiiiHahaha na unajua jinsi ya kuwatekaSasa kuna jamaa huyo had leo huwa nataman nimpatee nimuombe msamahaaa, altoka mwanza kuja Dar, nlichomfanyia uwiiii.
Ntakufa nimechoka sanaaaa. Yaan nna dhambi jina langu likisomwa ni motoni 1 kwa 1 bila mahojiano.![]()
Ameeeeeeeen!!!