Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Haapana its okay hata camera za simu (iphones, samsung, huawei etc)zina software ambayo ni built in inaweka filter kwa kiasi fulani, kutumia filter sio ku cheat, its okay
Thank you very much
natamani wabongo wengi tungekuwa na mtazamo huo .
Sasa iPhone wanaikubali na sio Snapchat .
 

Uwiii mbona sio vitu vyangu dyadyaaaa


Ila hapo at least no 4&9,, the rest akinitongo.za saa 1 kamili asubuhi, saa 1 na dk 5 ashakula block 🥹
nyiee nacheka km chiziiiii. Jaman mbna mie naposema niweke miguu nikae naonekanà sio penyeweee.

Nyie hapo mnataka hawa wa kuvaa official? Mie casual ndo nawa elewaaa, uwiiiih
 
IMG_20221129_005101_916.jpg


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Sasa kuna jamaa huyo had leo huwa nataman nimpatee nimuombe msamahaaa, altoka mwanza kuja Dar, nlichomfanyia uwiiii.

Ntakufa nimechoka sanaaaa. Yaan nna dhambi jina langu likisomwa ni motoni 1 kwa 1 bila mahojiano.
Hahaha na unajua jinsi ya kuwateka
masikini hadi nimemuonea huruma
kungwi Kama kungwi upo vizuri , watu wanadata wenyewe .
 
Back
Top Bottom