Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Mwanaume kuwa na kipato ni biig plus kum win mwanamke kwa sababu wanawake wana prefer wanaume wapo stable financially, that’s not to say the reverse isn’t true kuna wanawake wanafanya kazi na wanaume wanaangalia watoto lakini ni mara chache, ndio maana wengine wana hide financial status zao mwanamke akija kufahamu siri tayari wapo deeper kwenye mahusiano, kwa hio at first mwanamke alifahamu kuna pesa...Wee unaongeleaa wanawake na hayo madai yako kwan wee ni mwanamke? Utajitetea eti kwa sababu una date na hao wanawake, je wee mitazamo na misimamo yao unaijua? Wanawake woteee??? Hata hao ulio date nao ndo walikuambia kuwa wanawake wote wako hivyo?
Haya siku njema...
