Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
🙏🏿🙏🏿Salama kabisa mrembo, Asante kwa selfie, kumbe we katoto kazuri kabisa
shukrani
camera Ile
wa kawaida ,ni vile filter inatusave lakini huyo Bilionea anaitaka kuichukua dah .
🙏🏿🙏🏿Salama kabisa mrembo, Asante kwa selfie, kumbe we katoto kazuri kabisa
😅😅😅 Haya tulio double acha tukamuane sasa, walio single watajijua 🤣🤣
Rafu kwa sana mjombaa hatupendi za kurembaaaa!!😎😎😎 Kaazi kaaaaazzzzziiinn😅😅😅 Haya tulio double acha tukamuane sasa, walio single watajijua 🤣🤣
Hako Deki kwa sanaaaa teraaaa hadi maji kaite mma!!😁🤭!!Katoto kadogo dogo 😋😋😋 kananiita daddy..
Thanks mkuu enjoy your night with sweet dreams!!😘✌️✌️✌️✌️✌️✌️!
Goodnight too
Leo huna usingizi eeh ?Thanks mkuu enjoy your night with sweet dreams!!😘✌️✌️✌️✌️✌️✌️!
Enjoyyyyyy ✌️✌️✌️✌️✌️Haya bye 😅😅😅 acha nilale mie
Hata kama hamna filter ukiwa mrembo ni mrembo tu, hata wanawake warembo, wanamitindo wanatumia filter, its okay🙏🏿🙏🏿
shukrani
camera Ile
wa kawaida ,ni vile filter inatusave lakini huyo Bilionea anaitaka kuichukua dah .
Nipo namark hapaa nimeazimia ntalala saa nane dear !!Leo huna usingizi eeh ?
Thank you kwa kutupa moyoHata kama hamna filter ukiwa mrembo ni mrembo tu, hata wanawake warembo, wanamitindo wanatumia filter, its okay
Pole na kazi dearNipo namark hapaa nimeazimia ntalala saa nane dear !!
Uliwezajee shougaaangu kidawaaa lol! Humu nawaogopa sitaki tena!!





yaaan acha tyuuuh.Natumaaa.Hujatuma?
Tuoneshe kiuno nyigu icho
Acha ukorofi
Pilot mie sijakaa, ila sio wanawaake wote wako hivyo, ila wengi wao.Mwanaume kuwa na kipato ni biig plus kum win mwanamke kwa sababu wanawake wana prefer wanaume wapo stable financially, that’s not to say the reverse isn’t true kuna wanawake wanafanya kazi na wanaume wanaangalia watoto lakini ni mara chache, ndio maana wengine wana hide financial status zao mwanamke akija kufahamu siri tayari wapo deeper kwenye mahusiano, kwa hio at first mwanamke alifahamu kuna pesa...
Haya siku njema...
hahah uliwezaje kula hela ya watu hivi hivi .
unayaweza ndo maana nasema hivyo






mie mtu wa kujilipuaaa, afu sijari wala nnHaapana its okay hata camera za simu (iphones, samsung, huawei etc)zina software ambayo ni built in inaweka filter kwa kiasi fulani, kutumia filter sio ku cheat, its okayThank you kwa kutupa moyo
maana Bongo hapa kutumia filter ni crime 🥴 , huwa sielewi. .