Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Eeh namba 1Nani Kwani?? Namba 1 au ??
Eeh namba 1Nani Kwani?? Namba 1 au ??
Ilikua zamani siku hizi nawakubaliWaletreeeeeeee kwangu haowaletrreeeeee hapaaaa
!!

Mi Sijamwelewa hata!!Eeh namba 1
Hahah Coca 😂genius yukooo. Hawa wa mtandaoni hata siwawekagi kichwan, tunaishia huko huko kwa app
Asante Sana Mkuu
Geuka huku pilot!! ✌️✌️✌️
nzuri dear
Wanaume wasiokunywa pombe wala kuvuta sigara wanapenda chini kuliko chakulaPumzi ipo ya kutosha dada yangu ☺️☺️ maana situmii aina yoyote ya kilevi wala kivuto so mapafu yangu na figo kama za mtoto mchanga 😅😅😅 mie huwa ni majii kwa wingi madafu na majani majani
thanks!Asante Sana Mkuu
looking smart and elegant .
In caveman days wmanaume ambae alikua mpambanaji ndiye ambae watoto wake walikuwa wana chance kubwa ya ku survive, unafikiri kulikuwa kuna magari, majumba na pesa? vitu vimekuwa transformed tu, kwanza unajua maana/utofauti kati ya financially stability na utajiri?
Sasa siwezi ongea na mtu hana gender nitakuwa naongea na robot la google, huna experience yeyote ya ku chase mwanamke, huna experience ya kuwa provider, huna experience ya vitu vingi thats why una date na hao watoto wa miaka 23.. thats unaongea wewe kama wewe who are you a guy, girl or something else...?







wee pilot hebu kwani nichekeeee, khaaaaah. Unajuaga kunifurahishaaa mnooo. Yea no strings attached,Hahah Coca
unayaweza mweh .
kwa hiyo hao ni for fun , No strings attached ?







Nimecheka kama chizi hapo kwenye wa suruali za vitambaa!! 😂shougaaaaa nifanyejeee????
Lol ngoja nitizame kwa gallery hapaa sema sikuhizi sipigagi picha kabisa!! Kamera inazinguaWabb
Wabbeja Sana mmayo.
Embu fanya wepesi kabla simu hazijazima chaji