National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,197
Goja nihamuke shangazi, naumwaa.. Nimeshinda nimelala tyuuu 🤕🤕Bless Jioni yangu mjombaa pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!! Sijakuona kitambo sana mjomba!
Goja nihamuke shangazi, naumwaa.. Nimeshinda nimelala tyuuu 🤕🤕Bless Jioni yangu mjombaa pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!! Sijakuona kitambo sana mjomba!
😅😅😅 Nakosaje wakati alinitaka 🤣🤣🤣 namaliza mwaka vizuri kabisaaa.. Najilia vinono tuuuMbona umenuna mdogo wangu
Vipi hujafanikiwa kwa yule pisi nn maana😆😆😆
Goja nihamuke shangazi, naumwaa.. Nimeshinda nimelala tyuuu 🤕🤕
Lol pole sana mjomba!!! Basi ukiamka utaniblesss mjomba wangu!Goja nihamuke shangazi, naumwaa.. Nimeshinda nimelala tyuuu 🤕🤕
Mzima kabisa mambo vipi ?Mkuu Post M-alone kwema mzee!
Nani huyo mkuu? kama ni pisi ya selfika ukiikamata hakikisha unatuwakilisha World Cup Qatar.😅😅😅 Nakosaje wakati alinitaka 🤣🤣🤣 namaliza mwaka vizuri kabisaaa.. Najilia vinono tuuu
Nitafikisha salamu zako Mjukuu 🤪Safi sana babu Msalimie sana bibi etu! Hakika yupo vyedi sana Naona babu unag'aa tu ! Mwambie likizo wajukuu tunakuja kupalilia!!
Kwa style hiyo pumzi unayo kweli mdogo wangu😁😁😅😅😅😅 Kuna siku tulikuwa field milimani, na wanataka tukague kila point.. ohooo miguuu ikaanza tetema kama mayele, nikawaambi mwisho wangu hapa sipandi.. na hamnipeleki popote mbona waliishia nilipo ishia, maana mwenye majibu nilikuwa mie ya sehemu wanazo kagua
Usisahau kuvaa kimfuko cha mkate😒😒😒usijesema sikukwambia wakati tunakunywisha uji😅😅😅 Nakosaje wakati alinitaka 🤣🤣🤣 namaliza mwaka vizuri kabisaaa.. Najilia vinono tuuu
Asante nkamu. Mimi nipo. Uko poa wewe? Endelea kubarikiwa nkamu![]()
You' re missedSaint Anne nakusalimia 🖐
Hebu niione sasa.Usijali Mjukuu, soon nakutumia uone
Miss u my shoga uyogaaaaa, naambiwa umekatazwaaa mazoea na mie, ndo maana unanichunia, kheeeeh haya bhana. Endelea hivyo kutii agizo, isije semwa nakurubuni, akuuuuuuh sitaki.
Nikuone kwanzaYou' re missed
Kama umejua vile kuwa nataka kukuonaNikuone kwanza