Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
ushazeeka shougaaaaa hebu kwan khaaaaaah
🤣🤣🤣🤣🤣 Hao wa swagger zako hapana kubwaaaa kwakweli!! !! Yani kingine nikikiangalia hata kiganjani hakijai yeeeeuuuwwiiiii 😏😏😏🙌🙌🙌
 
Hao wa swagger zako hapana kubwaaaa kwakweli!! !! Yani kingine nikikiangalia hata kiganjani hakijai yeeeeuuuwwiiiii
Hutak kulea vibenteniiiii wee? bas wenzio wa mama wanawataka wa hivyo hapo.
 
Khaaaaah utakuja upigwe tukio akili ikukae.
Ukiwekeza akili kweny kutafuta pesa na kufanya malengo yako kwanza hautatumia muda wako kutembea na hivi vitoto vya 98,97,96.
Mtu anaekuzid umri sio tu heshima atakua nayo bali anaweza kukusaidia vitu vingi sana na ukafuraia maishani.
 
Ukiwekeza akili kweny kutafuta pesa na kufanya malengo yako kwanza hautatumia muda wako kutembea na hivi vitoto vya 98,97,96.
Mtu anaekuzid umri sio tu heshima atakua nayo bali anaweza kukusaidia vitu vingi sana na ukafuraia maishani.
Wee dear, usiseme hivyo labda kwa mtazamo wako. Ila sio kivileee.

Mapenzi hayana 4mula.
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
ushazeeka shougaaaaa hebu kwan khaaaaaah
🤣🤣🤣🤣🤣 Hao wa swagger zako hapana kubwaaaa kwakweli!! !! Yani kingine nikikiangalia hata kiganjani hakijai yeeeeuuuwwiiiii
Tena no 1 huyooo rohooo kwatuuuuuu.
Sasa kama hako niseme nimekakalia kanipakate labda mxxxxxxxiieewww!!😏😏😏😏 ntakauaa tyu mie 🤣🤣🤭😎
 
Mi mwanaume anaevaa vinguo vya swagger za kuchanikachanika mara vi tight ka vyakike😏😏😏!
Wanaume ambao wana umri fulani let say 40''s najua ndio taste yako, katika umri huo wengi wapo financially stable, wanakua wapo well established kwenye career zao, lakini mwanaume akiwa na pesa akiwa kwenye 30's have the best of both worlds hapo wasichana wa 20's watavutiwa hata wanawake wa 40's.

Lakini upo sahihi huo umri watu wengi wana enjoy maisha, unakuwa na experience na vitu vingi n.k... Sijajua upande wa mizagamuo..... kwa maana mie nina 55 sa hivi.
 
Depal dyadyaaaa ake,

Lenie didii akeeeee

sophy27 shangaziiii akeee

Antonnia shoga uyoga km sio mbogaa akee

Tinsley dear ake.

Leo nliingia app 1 hivi, maana nliisusaga kitambooo na nkasahau password nkaacha, sasa leo niliikomalia nkawaza na kuwazua password zote nilizohisi hatimae nkapatia bhana.

Nlivo log in, uwiiiiiiiiih nmekutaa text nyingiiii mweeeeeeeeeh sasa ktk kuangalia nianze na nan kumjibu, nkaamua kuchaguaa handsomes 10 (kwa mtazamo wangu) nkawapata hawa hapa kila mtu na no yake kwa u handsome. Lol

Sasa nyie mniambie nianze na yupi,


Nimeamua tyuuuh kuwaomba ushauri!!! WeraaaaaaaahView attachment 2430126View attachment 2430127View attachment 2430128View attachment 2430129View attachment 2430130View attachment 2430131View attachment 2430132View attachment 2430133View attachment 2430135View attachment 2430136
Huyu wa Tano sijui ni chupi hiyo kavaa
Sijui taiti Aiseee!

Atakayevaa shati la kitenge na suruali ya satini,Anza naye huyohuyo.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Hao wa swagger zako hapana kubwaaaa kwakweli!! !! Yani kingine nikikiangalia hata kiganjani hakijai yeeeeuuuwwiiiii

Sasa kama hako niseme nimekakalia kanipakate labda mxxxxxxxiieewww!! ntakauaa tyu mie
kwanza wee nan atakupakataaaa hata hao watu wazima enyeweeee?? Unataka mapaja yake yachuche maji km sio damuuuu?

Wembamba wa reli treni inapitaaa upoooo?
 
shogaaaaa c naulizwaaaa mbna na tonnia kmyaaaa, mie najibu sijui hata ila tuko fresh mbna, naambiwa kheeeeeh umepigwaaaa stop uwiiiiiih.

Mie nkajisemea bas JF ina makubwaaaaa woiiiiiiiih.
Sio wa kupigwa stop mie na utu uzima Wangu wote huuu!! Lol!!! Sijui hata shetani gani kaingilia kati Walai mi mwenyewe selewiiiii shoss angu!!
 
Wanaume ambao wana umri fulani let say 40''s najua ndio taste yako, katika umri huo wengi wapo financially stable, wanakua wapo well established kwenye career zao, lakini mwanaume akiwa na pesa akiwa kwenye 30's have the best of both worlds hapo wasichana wa 20's watavutiwa hata wanawake wa 40's.

Lakini upo sahihi huo umri watu wengi wana enjoy maisha, unakuwa na experience na vitu vingi n.k... Sijajua upande wa mizagamuo..... kwa maana mie nina 55 sa hivi.
Kwa watu wazima wanafata pesa, ila mnyanduano wanafata kwa watoto lol.
 
Back
Top Bottom