Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,947
- 177,163
Akina Katekista😁😁🤣🤣🤣Hao ndio husband material jaman![]()
Akina Katekista😁😁🤣🤣🤣Hao ndio husband material jaman![]()
Kwanza hakuna kama boss ledi humuMie kichwa ngumuuu!! !!! Kwanza unahisii nani humu wakunipiga stop Hebu nambie kwanzaa
![]()
EeAkina Katekista![]()
hawa masharobaro tunauza nao tu sura no kuwowa.Safi.Huo uchumi tuta tafuta wote ili tufike napotaka, upendo kwanza mengine baadae.
Yeaaaaaah.Safi.
We unaongea kama mwanamke au mwanaume?Huo uchumi tuta tafuta wote ili tufike napotaka, upendo kwanza mengine baadae.
Watu wazima wanajua maishaaaaa...vitu vingi wana experience yakutoshaaaaa... they handle with care kubwaaa, waelewaaa ,,, They treat you like a kid..midamida unadekezwaaaa... they have planssss big big ones weeeuweeeeeh!!!!Khaaaaah utakuja upigwe tukio akili ikukae.![]()
Kuna vijana wadogo lakiniwapo smart kama watu wazima na kuna watu wazima hovyoo... kikubwa usi base sana na umri..Hahaa shida wengi wana utoto bado angalau mwanaume wa kuanzia 30+.
We unaongea kama mwanamke au mwanaume?





nimechekaaa mbavu sina, naongea mie km mie. 






furahi na nafsi yako.Mshenga unanitoa nishai kiasi hikiana bahati ya kuwa na mie yuleee? Nitolee gundu na nuksi, nikikosa wa kuni inamisha si bora nijichokoe na vidole vyangu au dildo madukan zimejaaa teleee bei sawa na bureee.
![]()
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! I like Mtu wa kunipakata nikapakatikaa banaaa nimkaliee na ni feel kuwa Salama sio kudondoshwaa🤣🤣🤣💃!kwanza wee nan atakupakataaaa hata hao watu wazima enyeweeee?? Unataka mapaja yake yachuche maji km sio damuuuu?
Wembamba wa reli treni inapitaaa upoooo?
Ndo nimechekaaaaaa sanaaaa,Watu wazima wanajua maishaaaaa...vitu vingi wana experience yakutoshaaaaa... they handle with care kubwaaa, waelewaaa ,,, midamida unadekezwaaaa... they have planssss big big ones weeeuweeeeeh!!!!










Naunga mkono hojaHahaa shida wengi wana utoto bado angalau mwanaume wa kuanzia 30+.
Nileteee wazeeee niletee wazee shougaaangu 🤣🤣😁😁!! Vijana 🙌🙌🙌🙌🙌🙌Ndo nimechekaaaaaa sanaaaa,
Yaan wee shougaaa unaniacha hoi hapaaa khaaaaah. Wazee wazima enyewe hovyo tyuuh.
Fanya diet shougaaaaa,!! I like Mtu wa kunipakata nikapakatikaa banaaa nimkaliee na ni feel kuwa Salama sio kudondoshwaa
!









Wazeee mnaitwaaaaa huku,Nileteee wazeeee niletee wazee shougaaangu!! Vijana
![]()









Sasa huna gender, mi kama mwanaume nasema wanawake wanapenda pesa kwa experience yangu, je wewe unaongea kama nani kwamba hujali pesa, unajali upendo,nimechekaaa mbavu sina, naongea mie km mie.
Au wee unataka niongee km nani? Mie najisemea kwa upande wangu, siwezi semea wengine.
Ko na aply kote kote km ambavyo wee unataka,furahi na nafsi yako.
Mshenga unanitoa nishai kiasi hiki





sasa hajakuambia km tumeachanaaaaa.Ni Coca kama Coca babu weeeSasa huna gender, mi kama mwanaume nasema wanawake wanapenda pesa kwa experience yangu, je wewe unaongea kama nani kwamba hujali pesa, unajali upendo,






Kwamba wee unazungumzia mie au wengine? Tuanzie hapo kwan.Sasa huna gender, mi kama mwanaume nasema wanawake wanapenda pesa kwa experience yangu, je wewe unaongea kama nani kwamba hujali pesa, unajali upendo,






