Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Uongo nshaacha
Uongo nshaacha
Aje amchukue mtu wake anatusumbua😆Wivu tu unamsumbua
Ajitulize Kwa Wige 😂
😅😅😅 Mimba ni baraka mkuu..Mpaka hapo ushampa mimba mkuu
Wakavae mashati ya Vitenge huko Gamboshi.Aje amchukue mtu wake anatusumbua![]()


Acha uongo
Baba Mchungaji.Heshima yako Shimba ya Buyenze



Uwe unamtag Valentina 🤣🤣🤣Wakavae mashati ya Vitenge huko Gamboshi.
Watuache kabisa watu wa Mamtoni
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Amen.Baba Mchungaji.
Heshima hiyo na ikurudie sabini mara sabini mulangira. Fanya haraka umalize hizi hekaheka za ujana zinazokupotezea muda uanze safari ya kurudi Ethiopia kwenye kiini na legacy yako ya kweli.
Mavuno ni mengi shambani mwa Bwana lakini wavunaji ni wachache.
Bwana Anakusubiri shambani mwake. Usije ukachelewa sana Baba Mchungaji![]()
Hebu post picha Kwanza,Acha uongo
Aisee pako bomba sana, kuna kisiwa pia kinaitwa Bora Bora napo pazuri mbayaa😅😅😅 Mimba ni baraka mkuu.. View attachment 2430075
Heaven on earth 🌎🌎🌎.. Huko ka nafsi kanatulia tuliiiAisee pako bomba sana, kuna kisiwa pia kinaitwa Bora Bora napo pazuri mbayaa
![]()
![]()
Ebu ncheke kwanza 🤣🤣🤣🤣🤭😁😂!! Nani huyo wa kunikataza miee humuu fanya kuniletea hapaa kwanza nimuone 🤣🤣🤣🤣🤭!!,??!!Miss u my shoga uyogaaaaa, naambiwa umekatazwaaa mazoea na mie, ndo maana unanichunia, kheeeeh haya bhana. Endelea hivyo kutii agizo, isije semwa nakurubuni, akuuuuuuh sitaki.
Seriously!!!!!









Pazuri sana, kuna luxury hotels nzuri sana, kama hio inaitwa 4 seasonsHeaven on earth 🌎🌎🌎.. Huko ka nafsi kanatulia tuliii







Siku nikiotea pisi kali na nikiwa na hela nitaenda nayo huko 😅😅 au siku nikioaPazuri sana, kuna luxury hotels nzuri sana, kama hio inaitwa 4 seasons
Namba 4Depal dyadyaaaa ake,
Lenie didii akeeeee
sophy27 shangaziiii akeee
Antonnia shoga uyoga km sio mbogaa akee
Tinsley dear ake.
Leo nliingia app 1 hivi, maana nliisusaga kitambooo na nkasahau password nkaacha, sasa leo niliikomalia nkawaza na kuwazua password zote nilizohisi hatimae nkapatia bhana.
Nlivo log in, uwiiiiiiiiih nmekutaa text nyingiiii mweeeeeeeeeh sasa ktk kuangalia nianze na nan kumjibu, nkaamua kuchaguaa handsomes 10 (kwa mtazamo wangu) nkawapata hawa hapa kila mtu na no yake kwa u handsome. Lol
Sasa nyie mniambie nianze na yupi,
Nimeamua tyuuuh kuwaomba ushauri!!! WeraaaaaaaahView attachment 2430126View attachment 2430127View attachment 2430128View attachment 2430129View attachment 2430130View attachment 2430131View attachment 2430132View attachment 2430133View attachment 2430135View attachment 2430136