Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Siachi kuwafatilia 🤣🤣

Tena nikiona tu unachekeana na mtu me, tayari anakuwa bwanako.. nakutia kwenye list 😂😂😂😂
Afu naanza zungukia pm za watu kuwapa ka ubuyu 🤣🤣🤣

Ghaiiiiiiii
Uwiii basi nitakua na mabwana wengi humu ndani 🤣🤣🤣🤣 maana kununa me siwezi
 
Wallah watu watakufa ulimi wametoa nje, coca yuko zenji na mtu wa selfika, tena kwa kujitongozesha na kaishià kuwekwa hotelin, na hajapewa chochote, kuuliza ni baba la 45+ yrs, jaman coca aache vijana wenzie akimbilie walezi wa wana?

Wanitueeeee.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣😂😂! Jf 🙌🙌🙌🙌🙌
 
Wallah watu watakufa ulimi wametoa nje, coca yuko zenji na mtu wa selfika, tena kwa kujitongozesha na kaishià kuwekwa hotelin, na hajapewa chochote, kuuliza ni baba la 45+ yrs, jaman coca aache vijana wenzie akimbilie walezi wa wana?

Wanitueeeee.
Kumbe uzi una wababa wakubwa hivo na hamsemii 🤣🤣🤣
 
Poker Watu tunaskip koments akufocus kwenye newest posts humuu ujue!!😂😂🤣🤣
IMG_20221114_180244_983.jpg
 
Ukitoka outing na mwamba wako make sure unachangia japo kidogo dear..
Akigoma usichangie bill basi toa cash mlipe waiter.

Kuwa mwanamke lakin pia kuwa classy..jitengeneze mwanaume akuheshimu.kuwa miss independent hata Kwa kidogo ulichojaliwa.

Mada ni ndefu hii jamani..ngoja kwanza ninywe soda hapa
 
Unasubiri mtu akajitambulishe unadhani ndiyo kigezo cha kutokuachwa? Hivi unatujua au unatusikia. Mi binafsi niliwahi kujiita paulo nikaenda huko mbeya kwa kina Saint Anne na bdo nilimuacha kwenye mataa 😂 amebaki kuniita mbwa tu mpaka leo.
😂 😂 😂 😂 ushindwee
 
Unasubiri mtu akajitambulishe unadhani ndiyo kigezo cha kutokuachwa? Hivi unatujua au unatusikia. Mi binafsi niliwahi kujiita paulo nikaenda huko mbeya kwa kina Saint Anne na bdo nilimuacha kwenye mataa 😂 amebaki kuniita mbwa tu mpaka leo.
😂 😂 😂 😂 ushindwee
 
Back
Top Bottom