National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,176
- 56,202
Wapi, kanitupa kisomi huyo.. mie mwenyewe mtu mzima.. najua ila kaamua kunikataa .. PM hataki kuniona, kumfata kule mkoani kwao hataki , hataki chochote kutoka kwangu nafanyaje hapo 😅😅😅 hadi akaamua kuniambia live natwanga maji kwenyw kinu 😅😅Sema kuna neno moja alikuambia ndio nimeyaelewa maneno ya Lenie nadhani kama sio jana basi ni juzi alikwambia yeye ni mtu mzima na sio mtoto hatongozwi hivyo! Kwahyo mi nkajua ndugu yangu National Anthem ungejiongeza ila ukala kona 😂😂


