Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

wee mbna wengine wanasema nilikua vacay na mtu wa selfika, tena Zanzibar, akat mie nilikua zangu Home Songea nakula dagaa nyasa.

Jaman JF kuzusha msiyoyajua mtakuja mfe na kwa kutupiwa kigorori khaaaaah.
Weeee hebu nipashe shougaaangu ndio nini hivoo??🤔🤔Kumbe sie twakumiss selfika mtu upo vacay unakula mausha shosss vibaya hivoo 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂!! This is Jf banaaa😁😁
 
Kutokujielewa tu af tabia za kufatiliana maisha ni ushamba na uswahili
Humu watu wapo kujifunza na kuenjoy
Siachi kuwafatilia 🤣🤣

Tena nikiona tu unachekeana na mtu me, tayari anakuwa bwanako.. nakutia kwenye list 😂😂😂😂
Afu naanza zungukia pm za watu kuwapa ka ubuyu 🤣🤣🤣

Ghaiiiiiiii
 
Back
Top Bottom