Naimagine ukinywa unakujaee sipati pichaaa![]()





mie ningekua mnywa pombee ningekua natoa siri zote nikilewa.Huyo mmbishi 😅😅 acha ale jeuri yake🤣🤣Sasa kwanini umuache hapo 🤣
Mungu anatupenda wote, ila hatuamini wote.. na kuaminiwa na Mungu ni matokeo ya utiiSawa mtumishi
Ila kumbuka Mungu ni mwema kwa wanadamu wake
Zileetreeee vochaa zileetreeee vochaaa!! Kakaetu mr vocha anatujali sana wadogo zake na kuamua kushea nasi kwa kile apatacho!! He's one of a kind kwakweli Namuombea sana azidi kubarikiwa yule kaka!
Naelekea papparoti itakuwa safi sana ukituma muamala kabisa 🙂🙂Kunywa soda nakuja kulipa tafadhali
Atoe ili iweje? Muda wa kuproviana wrong unatoka wapi bana 😏temana naeJF ina visa na mie, afu sio mjep tyuuh wapo tena wengine wawili hapa hapa Selfika.
Tena mwingne ndo naambiwa eti nlikua najitongozesha kwakee, nkaambia, atoe text, au records au voice calls zangu.
Mtu hata no za hao watu cna, nashangaa JF inavo niandamaa.
Hakyanani tena pombe 🙌🙌mie ningekua mnywa pombee ningekua natoa siri zote nikilewa.
Hata kina Antonnia 🥹🥹Ha ha haa,amesema anataka kina D tu







wee mbna wengine wanasema nilikua vacay na mtu wa selfika, tena Zanzibar, akat mie nilikua zangu Home Songea nakula dagaa nyasa. Na huyo mtu alomfata kama sio meneja sijui
Ila yule mtu ni mnaaa sijawahi ona![]()







haya SelfikaHuu uzi umekuwa wa madem wajingà wajinga wa jf
Kweli Kabisa mjomba ubarikiwe mnoo!! Ulijua kutubariki sio kidogo eti!! 😘
Dear Lord 😂😂🤸🤸Huu uzi umekuwa wa madem wajingà wajinga wa jf
Nateseka sana, nimekufa kwa huyo Antonnia sijui sina nyota 🥲🥲Onhoo,tena
Jamaa kakuelewa, hebu kunjua moyo basi.Kweli Kabisa mjomba ubarikiwe mnoo!! Ulijua kutubariki sio kidogo eti!!![]()
Yaan hii selfika ina watu wana mambo, lakini wanavyo behave humu ndan ndo maan nikitibukaga nachana makavu, mxieeeeeeeew.Ni yeyeeee lazima
Yaani ni aibu kufatiliana maisha watu wazima, kwanini kila mtu asishike 50 zake.
Tukikutana hapa tupige porojo then kila mtu na 50 zake, tusifatiliane mambo private ndio maana hata id tunatumia fake