Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hawa ni kama wehu, ndio maana tuliambiwa tuishi nao kwa akili maana wao hawana 😅😅😅..
Ishi humo humo.

Point of correction 😁😁
Sio kwamba hatuna akili mkuu😀ishu ni kwamba tuko na akili kubwa sana tukiamua kutumia akili zetu.

🤪🤪
Wanawake tuko na sifa mbili.
Ya kwanza ni ujenzi na ya pili ni ubomoaji..tukikusudia kufanya jambo hatushindwi.tunanata na upepo 🤣🤣

Mambo ni mengi
 
Ishi humo humo.

Point of correction 😁😁
Sio kwamba hatuna akili mkuu😀ishu ni kwamba tuko na akili kubwa sana tukiamua kutumia akili zetu.

🤪🤪
Wanawake tuko na sifa mbili.
Ya kwanza ni ujenzi na ya pili ni ubomoaji..tukikusudia kufanya jambo hatushindwi.tunanata na upepo 🤣🤣

Mambo ni mengi
Wafundishe hao wenzako kutumia akili zao vizuri, wafundishe.. kwenye hili kundi unaonekana upo matured unaweza tunza hata ndoa na mume.. ila hao wasela wengine mmmh🤭🤭🤭
 
🤣🤣🤣🤣
Aki hata sikua siriaz, nilikua tu nakutania nione kama utatoa

Bana wee sisi tunapenda hela na nyie mnapenda mbususu so ngoma drooo
😂 Hapo sasa ndio umekuja kwenye uhalisia wa win win situation. Binafsi yangu mambo yakuweka kambi au koloni hapana mi kila nikihitaji kuzagamua nakuita unakuja tukimaliza nakupea chako kila mtu ashike 50 zake.
 
😂 Hapo sasa ndio umekuja kwenye uhalisia wa win win situation. Binafsi yangu mambo yakuweka kambi au koloni hapana mi kila nikihitaji kuzagamua nakuita unakuja tukimaliza nakupea chako kila mtu ashike 50 zake.
Hayo ndio maisha sasa, sio kupeana stress kwa mambo ya ajabu, tozo zenyewe kila siku zinapanda bado tena kiumbe mwingine akupe stress? Aah hapana aisee
 
Mtabeba misalaba mizito sana, tatizo ni feminism.. wenzenu walio watii na wenyenyekevu sasa hivi wana bebika tu na kutunzwa kama vitoto vichanga 😅😅 miaka inaenda jamani jamani
Kumfurahisha mtu mzima ni Kazi sana mjomba hao wanaobebishwa wabarikiwege tu kwakweli!!

Dunia inajiburuzaaa sikuhizi mjomba si wenye pesa si makapuku si weupe si weusi si warefu si wafupi kila mmoja acheza ngoma kivyakee🤣🤣🤣😁😁!! Maisha Ndio hayahayaa Tuishi humohumoo tu
 
Thank you dear kwa ushauri , nikidate tena nitazingatia hilo .

sema inatokea umepata shida ndo usimuombe baby wako , akusaidie utatue shida hiyo .

okay hapo kwenye kumtengenezea mazingira ndo unakuwa supportive girlfriend and more .
Ukitoka outing na mwamba wako make sure unachangia japo kidogo dear..
Akigoma usichangie bill basi toa cash mlipe waiter.

Kuwa mwanamke lakin pia kuwa classy..jitengeneze mwanaume akuheshimu.kuwa miss independent hata Kwa kidogo ulichojaliwa.

Mada ni ndefu hii jamani..ngoja kwanza ninywe soda hapa😂
 
Hapana kutoka moyoni aliamua kutubariki anachopataa kaka wawatu namuombea Mungu ambariki sana Aishi nakufanikiwa miaka Maelfuuuu 🙏🙏🙏
Wote humu selfika tunajua alikuwa anakutongoza ukampiga chini kaenda kwa lenie kapigwa chini kaenda kwa alayna kapigwa chini kaenda kwa sophy27 nako manyoya. Nikasikia alimbahatisha coca ndiko alikofilisikia. 😂 Mnadhambi ninyi 😂
 
Kumfurahisha mtu mzima ni Kazi sana mjomba hao wanaobebishwa wabarikiwege tu kwakweli!!

Dunia inajiburuzaaa sikuhizi mjomba si wenye pesa si makapuku si weupe si weusi si warefu si wafupi kila mmoja acheza ngoma kivyakee🤣🤣🤣😁😁!! Maisha Ndio hayahayaa Tuishi humohumoo tu
Vipi ombi langu kwanza shangazi 🙂🙂 unajua nimekufa chaka chaka nimeoza, ebu nionee huruma
 
Back
Top Bottom