Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ uliniboaaaa snaa,, uwa sipendi kulaumiwa, na hapo hapo siwezi kumprove mtu wrong.

Nikablock, ukaona ukahamisha ugomvi sms za kawaida.
Nikasema huyu ni mwarabu,, na me ndo mpemba wake ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Nampa mwezi tu, namtafutaa
๐Ÿ™‚๐Ÿ™‚๐Ÿ™‚ kulaumiwa lazima, huoni mama la mama samia alanavyo laumiwa sembuse wewe ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Ungekuwa karibu ungekula mabusu badala ya sms ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

All in all wanasema wapendanao wakigombana chukua jembe ukarime... ukijidai msuruhishi utawakuta wanakusema ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Hainaga kugombana wala kuachana ni kupumzika tuu
 
๐Ÿ™‚๐Ÿ™‚๐Ÿ™‚ kulaumiwa lazima, huoni mama la mama samia alanavyo laumiwa sembuse wewe ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Ungekuwa karibu ungekula mabusu badala ya sms ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

All in all wanasema wapendanao wakigombana chukua jembe ukarime... ukijidai msuruhishi utawakuta wanakusema ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Hainaga kugombana wala kuachana ni kupumzika tuu
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ weee lawama nyingine jau


Ila wewe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ
 
Kwa mfano tuseme tu ukungu ni hatari kwa ndege, ukungu ni mawingu yanakuwa chini, ile inasababisha low visibility kwa rubani kuona runway, na mara nyingi utakuta rubani anazunguka eneo hilo karibu na airport kwa matumaini atapata visibility nzuri atue ikishindikana ndipo inabidi kuelekea airport nyengine.

Nahisi kulikuwa kuna shida sehemu zote, control tower na hali ya hewa pia, kama kuna hali ya hewa mbayainabidi control tower wakupe taarifa/warn kwamba huruhusiwi kutua kwa wakati huo.

Tatizo lingine ni pale pilot anakuwa anaendelea kutumia yupo kwenye Visual Flight Rules na anelekea kutua halafu ghafla anakutana na wingu/ukungu, hapo hutojua unakoelekea na utapoteza uelekeo.

Visual Flight Rules ni regulations ambapo pilot anakuwa na uwezo wa kuona vyema, yaani ndege ina operate kwenye nice and clear weather.

Lakini ngoja tusubiri uchunguzi.
Thanks kwa ufafanuzi chief
 
Back
Top Bottom