Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Najua aisee tena nina visa huyoHadi wewe kumbe unajua kuongea😂
I'm a bit cold hearted
Najua aisee tena nina visa huyoHadi wewe kumbe unajua kuongea😂
😂😂 najizuiaga sana kufanya madhambi jumapili, hata kusema uongo najikwepeaKwani baada ya ibada si ndio 😋😋😋
Sijapenta 😂😂😂Si mnapenda kutunga story msizozijua 😂 sasa za moto na ukweli mtazipata saa ngapi
Heee🤣🤣🤣🤣Najua aisee tena nina visa huyo
I'm a bit cold hearted
Tekno wereva wapii wakati una kitu konki Aifon !! Niliweka mbonaHapana shangazi sijaona mbona, 🙃🙃🙃 hizi tekno wereva hazileti notification
🙂🙂🙂 jumapili yana nogaaa kinoma kama hujui😂😂 najizuiaga sana kufanya madhambi jumapili, hata kusema uongo najikwepea
Nimecheka 😂😂😂Ila kweli, wengine tupo kama pimbi, u akaribia kupata mala ghaflaaa mvuuuu unapaisha 🤣🤣
Kweli sina zari na wewe dah🥲🥲 aifoni maifutiTekno wereva wapii wakati una kitu konki Aifon !! Niliweka mbona
Kwendraaaa🙂🙂🙂 jumapili yana nogaaa kinoma kama hujui
Ni mpambe mie 😂😂Heee🤣🤣🤣🤣
Huendani
🙂🙂 na ikawaje tukarudi tena hata kuongea .. maana una matusi wewe ya ki Arusha .. alafu una ni block 🤣🤣🤣Nimecheka 😂😂😂
Sema bado nakumbuka ile siku uliyonisema 🥲
Nitakuwekea badae mjomba nipike kwanza!!Kweli sina zari na wewe dah🥲🥲 aifoni maifuti
Njooo twendreee wote 🤣🤣🤣Kwendraaaa
Ungekuwa umenitwaa, mda kama huu tunaingia wote jikoni, umevaa washamoto nipo nyuma yako kama mkia, nakusaidia kukata vitunguu huku tunacheza cheza dah, sema ndio umenikataa 🥲🥲Nitakuwekea badae mjomba nipike kwanza!!
Mie niache nipambane nahali yangu tyu mjomba hekaheka na Mapenzi 🙌🙌🙌🙌 Nakuafutia kibinti kimoja kikareeee balaaaaa! Just waitUngekuwa umenitwaa, mda kama huu tunaingia wote jikoni, umevaa washamoto nipo nyuma yako kama mkia, nakusaidia kukata vitunguu huku tunacheza cheza dah, sema ndio umenikataa 🥲🥲
Mie nimekuona wewe, nimekupenda wewe, nimekufa na kuoza juu yako.. hao hata mie nawaona, ila mie nimeoza kwako🙂🙂Mie niache nipambane nahali yangu tyu mjomba!! Nakuafutia kibinti kimoja kikareeee balaaaaa! Just wait
😂😂 uliniboaaaa snaa,, uwa sipendi kulaumiwa, na hapo hapo siwezi kumprove mtu wrong.🙂🙂 na ikawaje tukarudi tena hata kuongea .. maana una matusi wewe ya ki Arusha .. alafu una ni block 🤣🤣🤣
Mwehh mjomba naona unatwanga maji kwenye kinu Hebu nikutafutie ushari shari utulie kwanza naona kisomi hatuelewani!!😎Mie nimekuona wewe, nimekupenda wewe, nimekufa na kuoza juu yako.. hao hata mie nawaona, ila mie nimeoza kwako🙂🙂
Ewaaaa hapo sasa umeongea 😋😋Mwehh mjomba naona unatwanga maji kwenye kinu Hebu nikutafutie ushari shari utulie kwanza naona kisomi hatuelewani!!😎