Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hivi we kwa nini unamuumiza sana jamaa? kwa nini unamtesa na kumuonea sana Wigelekelo kijana mtulivi hana makuu na mambo mengi, hata kama anavaa shati la kitenge si unamuambia abadili?
🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁 Pilot Mbavu zangu hukuuu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nacheka kama mwehuuuuuu🤣🤣🤣🤣!

Shangaaa nawewe ! wewe Saint Anne ndie wa kumbadilisha mchumba adamshi unavotaka wewe sasa!!
Ukojee
( in Wiges voice)
 
🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁 Pilot Mbavu zangu hukuuu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nacheka kama mwehuuuuuu🤣🤣🤣🤣!

Shangaaa nawewe ! wewe Saint Anne ndie wa kumbadilisha mchumba adamshi unavotaka wewe sasa!!
Ukojee
( in Wiges voice)
Nataka Pilot anibadilishe toka kwenye Vitenge
Tupae na juu mawinguni..kwake sijiwezi.
 
Back
Top Bottom