Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hio kazi changamoto za hapa na pale zipo nyingi... Now I'm not in the industry,
One day nilikuwa naruka na tulikuwa tumechelewa na kila mtu alikuwa na shauku ya kuondoka, nikatizama cockipit pressure ipo good, nikacheki fuel ipo good kucheki engine gauges haipo sawa, haikuwa kwenye RPM ile inapaswa kumbuka hapo nipo kwenye runway, nikazidi kukimbia runway nilikuwa naona gauges(RPM) zinapanda kwenye level inayotakiwa ikawa inanipa matumaini nikazidi kutembea, taratibu ndege ikaanza kunyanyuka.

Nilikuwa nimevuka v1, nikisema v1 speed pilots wanaelewa ni ile maxmum speed ukiwa kwenye runway ambapo bado unakuwa kwenye uwezo wa ku reject ndege isiendelee kuruka(takeoff) tokana na umbali/urefu wa runway, uki exceed v1 uwezo ni mdogo wa ku reject take off kwa maana hakuna enough runway left ili u stop. Hii ipo kwa sababu kuna issue kama engine failure,blown tires n.k, kwenye take off speeds kuna v1, vr, v2. na kila ndege ina take off speeds zake.

Kichwani kwangu kuna maswali na vita inayoendelea ndani kwa ndani nikiwa kwenye takeoff run, niruke? niache?, hakuna mtu anajua, asee niliamua abort takeoff na nika cancel ile flight, nili cut power chaap ndege ikarudi kwenye runway ikasimama mbele mwishoni mwa runway

Kweli ningeweza kuruka lakini engine haikuwa sawa, kuliko kuja kusema sorry ni bora kuwa safe, kitu kilichonitisha sana sio ku abort takeoff bali ni ile vipi kama ingetokea engine failure wakati wa ku climb, ingekuwa ajali mbaya mno, abiria hawakujua lolote. 🙂
Oooh kumbe ulishawahi kuwa kwenye industry ?

Out of topic,,, kwenye ile ajali ya juzi bukoba,, nn maoni yako ? Make tunaambiwa hali ya hewa ilikuwa mbaya na rubani aliona why aamue kutua ? Mara tunaambia uwanja hauna ile controler ya ndege,,,,, wengine wasema Ni tatzo la kiufundi ,, mara wengine mafuta!

Tufanye ni Hali ya hewa, rubani si alikuwa na uwezo wa kuamua kwenda mwanza ? Make nnavyosikia kwenye ndege huwa fuel inakuwepo extra, sio kwamba wanaweka kiwango mahususi kwa safari husika !!
 
👋👋 Hio kazi changamoto za hapa na pale zipo nyingi... Now I'm not in the industry,
One day nilikuwa naruka na tulikuwa tumechelewa na kila mtu alikuwa na shauku ya kuondoka, nikatizama cockipit pressure ipo good, nikacheki fuel ipo good kucheki engine gauges haipo sawa, haikuwa kwenye RPM ile inapaswa kumbuka hapo nipo kwenye runway, nikazidi kukimbia runway nilikuwa naona gauges(RPM) zinapanda kwenye level inayotakiwa ikawa inanipa matumaini nikazidi kutembea, taratibu ndege ikaanza kunyanyuka.

Nilikuwa nimevuka v1, nikisema v1 speed pilots wanaelewa ni ile maxmum speed ukiwa kwenye runway ambapo bado unakuwa kwenye uwezo wa ku reject ndege isiendelee kuruka(takeoff) tokana na umbali/urefu wa runway, uki exceed v1 uwezo ni mdogo wa ku reject take off kwa maana hakuna enough runway left ili u stop. Hii ipo kwa sababu kuna issue kama engine failure,blown tires n.k, kwenye take off speeds kuna v1, vr, v2. na kila ndege ina take off speeds zake.

Kichwani kwangu kuna maswali na vita inayoendelea ndani kwa ndani nikiwa kwenye takeoff run, niruke? niache?, hakuna mtu anajua, asee niliamua abort takeoff na nika cancel ile flight, nili cut power chaap ndege ikarudi kwenye runway ikasimama mbele mwishoni mwa runway

Kweli ningeweza kuruka lakini engine haikuwa sawa, kuliko kuja kusema sorry ni bora kuwa safe, kitu kilichonitisha sana sio ku abort takeoff bali ni ile vipi kama ingetokea engine failure wakati wa ku climb, ingekuwa ajali mbaya mno, abiria hawakujua lolote. 🙂
Kwa kweli hii kazi ni hatari😢
Ulivyoelezea sasa nimetoka Mweupee😂😂😂😂
Yule mtoto wa Mabeyo ananiuma hadi leo utadhani nilimzaa Mimi.

Bora umeacha aisee ..Hii kazi kama ndo anafanya mtu wangu naweza kuwa nakesha kwenye maombi muda wote asee.

Tuelezee kidogo basi kuhusu hii ajali ya juzi..hadi sasa siamini kimasikhara watu wamekufa wakati ndege ilikuwa jirani tu na nchi kavu😭
Yule baba Pilot ameniuma kama baba yangu mzazi.
 
Mixed feelings 😇

Juu unacheka
Chini unalia
Weweee 🙃

Kwa kweli hii kazi ni hatari😢
Ulivyoelezea sasa nimetoka Mweupee😂😂😂😂
Yule mtoto wa Mabeyo ananiuma hadi leo utadhani nilimzaa Mimi.

Bora umeacha aisee ..Hii kazi kama ndo anafanya mtu wangu naweza kuwa nakesha kwenye maombi muda wote asee.

Tuelezee kidogo basi kuhusu hii ajali ya juzi..hadi sasa siamini kimasikhara watu wamekufa wakati ndege ilikuwa jirani tu na nchi kavu😭
Yule baba Pilot ameniuma kama baba yangu mzazi.
 
cocastic
2AEBBDB8-28A8-4E8D-84A7-95BEDF61793B.jpeg
 
Oooh kumbe ulishawahi kuwa kwenye industry ?

Out of topic,,, kwenye ile ajali ya juzi bukoba,, nn maoni yako ? Make tunaambiwa hali ya hewa ilikuwa mbaya na rubani aliona why aamue kutua ? Mara tunaambia uwanja hauna ile controler ya ndege,,,,, wengine wasema Ni tatzo la kiufundi ,, mara wengine mafuta!

Tufanye ni Hali ya hewa, rubani si alikuwa na uwezo wa kuamua kwenda mwanza ? Make nnavyosikia kwenye ndege huwa fuel inakuwepo extra, sio kwamba wanaweka kiwango mahususi kwa safari husika !!
Kwa mfano tuseme tu ukungu ni hatari kwa ndege, ukungu ni mawingu yanakuwa chini, ile inasababisha low visibility kwa rubani kuona runway, na mara nyingi utakuta rubani anazunguka eneo hilo karibu na airport kwa matumaini atapata visibility nzuri atue ikishindikana ndipo inabidi kuelekea airport nyengine.

Nahisi kulikuwa kuna shida sehemu zote, control tower na hali ya hewa pia, kama kuna hali ya hewa mbayainabidi control tower wakupe taarifa/warn kwamba huruhusiwi kutua kwa wakati huo.

Tatizo lingine ni pale pilot anakuwa anaendelea kutumia yupo kwenye Visual Flight Rules na anelekea kutua halafu ghafla anakutana na wingu/ukungu, hapo hutojua unakoelekea na utapoteza uelekeo.

Visual Flight Rules ni regulations ambapo pilot anakuwa na uwezo wa kuona vyema, yaani ndege ina operate kwenye nice and clear weather.

Lakini ngoja tusubiri uchunguzi.
 
Hahaa yaani
Wet n wild Kunduchi pako bomba sana na South beach resort Kigamboni
Itabidi unipelekeee, huu mwaka nataka nizururee Dar, nikitoka mazima mwakan nijue kuwa kuna sehem za Jiji nliwahi kanyaga.
 
Kwa kweli hii kazi ni hatari😢
Ulivyoelezea sasa nimetoka Mweupee😂😂😂😂
Yule mtoto wa Mabeyo ananiuma hadi leo utadhani nilimzaa Mimi.

Bora umeacha aisee ..Hii kazi kama ndo anafanya mtu wangu naweza kuwa nakesha kwenye maombi muda wote asee.

Tuelezee kidogo basi kuhusu hii ajali ya juzi..hadi sasa siamini kimasikhara watu wamekufa wakati ndege ilikuwa jirani tu na nchi kavu😭
Yule baba Pilot ameniuma kama baba yangu mzazi.
1668339845236.png

Lakini ueleko wake ni ziwani which means alitaka kutulia kutoka SE kueleka NW, hio runway ina 31 na 13, airport zote lazima ukute namba ya hizo ends mbili za runway zipishane kwa 18, nipe hela kwanza tuendelee...
 
Back
Top Bottom