National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,176
- 56,202
National Anthem we ringa saivi, ukirudi sisi ndio tukooo
National Anthem we ringa saivi, ukirudi sisi ndio tukooo
Umefanana na huyo jamaa 😂😂
Oooh kumbe ulishawahi kuwa kwenye industry ?Hio kazi changamoto za hapa na pale zipo nyingi... Now I'm not in the industry,
One day nilikuwa naruka na tulikuwa tumechelewa na kila mtu alikuwa na shauku ya kuondoka, nikatizama cockipit pressure ipo good, nikacheki fuel ipo good kucheki engine gauges haipo sawa, haikuwa kwenye RPM ile inapaswa kumbuka hapo nipo kwenye runway, nikazidi kukimbia runway nilikuwa naona gauges(RPM) zinapanda kwenye level inayotakiwa ikawa inanipa matumaini nikazidi kutembea, taratibu ndege ikaanza kunyanyuka.
Nilikuwa nimevuka v1, nikisema v1 speed pilots wanaelewa ni ile maxmum speed ukiwa kwenye runway ambapo bado unakuwa kwenye uwezo wa ku reject ndege isiendelee kuruka(takeoff) tokana na umbali/urefu wa runway, uki exceed v1 uwezo ni mdogo wa ku reject take off kwa maana hakuna enough runway left ili u stop. Hii ipo kwa sababu kuna issue kama engine failure,blown tires n.k, kwenye take off speeds kuna v1, vr, v2. na kila ndege ina take off speeds zake.
Kichwani kwangu kuna maswali na vita inayoendelea ndani kwa ndani nikiwa kwenye takeoff run, niruke? niache?, hakuna mtu anajua, asee niliamua abort takeoff na nika cancel ile flight, nili cut power chaap ndege ikarudi kwenye runway ikasimama mbele mwishoni mwa runway
Kweli ningeweza kuruka lakini engine haikuwa sawa, kuliko kuja kusema sorry ni bora kuwa safe, kitu kilichonitisha sana sio ku abort takeoff bali ni ile vipi kama ingetokea engine failure wakati wa ku climb, ingekuwa ajali mbaya mno, abiria hawakujua lolote. 🙂
Kwa kweli hii kazi ni hatari😢👋👋 Hio kazi changamoto za hapa na pale zipo nyingi... Now I'm not in the industry,
One day nilikuwa naruka na tulikuwa tumechelewa na kila mtu alikuwa na shauku ya kuondoka, nikatizama cockipit pressure ipo good, nikacheki fuel ipo good kucheki engine gauges haipo sawa, haikuwa kwenye RPM ile inapaswa kumbuka hapo nipo kwenye runway, nikazidi kukimbia runway nilikuwa naona gauges(RPM) zinapanda kwenye level inayotakiwa ikawa inanipa matumaini nikazidi kutembea, taratibu ndege ikaanza kunyanyuka.
Nilikuwa nimevuka v1, nikisema v1 speed pilots wanaelewa ni ile maxmum speed ukiwa kwenye runway ambapo bado unakuwa kwenye uwezo wa ku reject ndege isiendelee kuruka(takeoff) tokana na umbali/urefu wa runway, uki exceed v1 uwezo ni mdogo wa ku reject take off kwa maana hakuna enough runway left ili u stop. Hii ipo kwa sababu kuna issue kama engine failure,blown tires n.k, kwenye take off speeds kuna v1, vr, v2. na kila ndege ina take off speeds zake.
Kichwani kwangu kuna maswali na vita inayoendelea ndani kwa ndani nikiwa kwenye takeoff run, niruke? niache?, hakuna mtu anajua, asee niliamua abort takeoff na nika cancel ile flight, nili cut power chaap ndege ikarudi kwenye runway ikasimama mbele mwishoni mwa runway
Kweli ningeweza kuruka lakini engine haikuwa sawa, kuliko kuja kusema sorry ni bora kuwa safe, kitu kilichonitisha sana sio ku abort takeoff bali ni ile vipi kama ingetokea engine failure wakati wa ku climb, ingekuwa ajali mbaya mno, abiria hawakujua lolote. 🙂
Kwa kweli hii kazi ni hatari😢
Ulivyoelezea sasa nimetoka Mweupee😂😂😂😂
Yule mtoto wa Mabeyo ananiuma hadi leo utadhani nilimzaa Mimi.
Bora umeacha aisee ..Hii kazi kama ndo anafanya mtu wangu naweza kuwa nakesha kwenye maombi muda wote asee.
Tuelezee kidogo basi kuhusu hii ajali ya juzi..hadi sasa siamini kimasikhara watu wamekufa wakati ndege ilikuwa jirani tu na nchi kavu😭
Yule baba Pilot ameniuma kama baba yangu mzazi.
Ndyooooo didiii,Kule kwa swimming?




eti nasema pooltable, nimechanganyikiwa vibayaa lolHahaa yaaniNdyooooo didiii,eti nasema pooltable, nimechanganyikiwa vibayaa lol
Kiukweli nimelia sana baada ya kumsikiliza shujaa Majaliwa,anaposema alienda akampungia mkono rubani.Mixed feelings 😇
Juu unacheka
Chini unalia
Weweee 🙃
Pole 😢Kiukweli nimelia sana baada ya kumsikiliza shujaa Majaliwa,anaposema alienda akampungia mkono rubani.
Nililia sana.
Sikutegemea watu wangekufa namna ile 😢
Kwa mfano tuseme tu ukungu ni hatari kwa ndege, ukungu ni mawingu yanakuwa chini, ile inasababisha low visibility kwa rubani kuona runway, na mara nyingi utakuta rubani anazunguka eneo hilo karibu na airport kwa matumaini atapata visibility nzuri atue ikishindikana ndipo inabidi kuelekea airport nyengine.Oooh kumbe ulishawahi kuwa kwenye industry ?
Out of topic,,, kwenye ile ajali ya juzi bukoba,, nn maoni yako ? Make tunaambiwa hali ya hewa ilikuwa mbaya na rubani aliona why aamue kutua ? Mara tunaambia uwanja hauna ile controler ya ndege,,,,, wengine wasema Ni tatzo la kiufundi ,, mara wengine mafuta!
Tufanye ni Hali ya hewa, rubani si alikuwa na uwezo wa kuamua kwenda mwanza ? Make nnavyosikia kwenye ndege huwa fuel inakuwepo extra, sio kwamba wanaweka kiwango mahususi kwa safari husika !!
Hahaha natamni nikuone ukiwa mpole .kuna muda huwa nakua mpolee.
Hahha nilisoma hii comment ya hii post aisee






una maanisha nn wee, Hahaha natamni nikuone ukiwa mpole .



nikiwaga mpolee had watu hawaamini km ndo mieMchumbaaaanikiwaga mpolee had watu hawaamini km ndo mie

Itabidi unipelekeee, huu mwaka nataka nizururee Dar, nikitoka mazima mwakan nijue kuwa kuna sehem za Jiji nliwahi kanyaga.Hahaa yaani
Wet n wild Kunduchi pako bomba sana na South beach resort Kigamboni
Halaaand nyenyenye
Kwa kweli hii kazi ni hatari😢
Ulivyoelezea sasa nimetoka Mweupee😂😂😂😂
Yule mtoto wa Mabeyo ananiuma hadi leo utadhani nilimzaa Mimi.
Bora umeacha aisee ..Hii kazi kama ndo anafanya mtu wangu naweza kuwa nakesha kwenye maombi muda wote asee.
Tuelezee kidogo basi kuhusu hii ajali ya juzi..hadi sasa siamini kimasikhara watu wamekufa wakati ndege ilikuwa jirani tu na nchi kavu😭
Yule baba Pilot ameniuma kama baba yangu mzazi.