Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 6,515
- 19,006
Saint Anne tulia mimi kama kaka yako nimeshakuchagulia Wigelekelo umetaka au hujataka utaolewa tu na wige au unataka radhi wewe.Wewe hebu watu wasije nipita wakijua nipo dabo na picha ya mchongo
Saint Anne tulia mimi kama kaka yako nimeshakuchagulia Wigelekelo umetaka au hujataka utaolewa tu na wige au unataka radhi wewe.Wewe hebu watu wasije nipita wakijua nipo dabo na picha ya mchongo
Pole sana Lovelovie Mungu akufanyie wepesi.Morning lover's..
Namshukuru Mungu kumekucha salama.
Usiku wa jana nyumba ya jirani tu imewaka moto yani kila kitu kimeteketea zilikuja fire tatu, Mbili zilishindwa ya tatu ndio ikazima tena wazima moto walikua wamevaa gumboots, t-shirt na mikoto ya suti na wengine masweta sijawai shuhudia tukio kwa ukaribu kama hilo inasikitisha sana.
Nyumba nayoishi imepakana karibu kabisa na hyo nyumba lkn nliishia kubeba kibubu na nguo za mtoto za baridi.
Mungu atunusuru na majanga.
Tujitahidi pia kua makini. Amen
Poker Antonnia To yeye cocastic Carrasco putin Wigelekelo Mjep Tinsley Saint Anne Mtoto halali na hela sophy27 National Anthem Lenie
Mmeamua kunisimanga nisie na tracker sioYaani
Utafikiri anaenda/anarudi

Yna2 hilo jina nalikubali sana lirudishe basi!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Khaaaa!!
Halafu jana nimekuomba selfiiSaint Anne tulia mimi kama kaka yako nimeshakuchagulia Wigelekelo umetaka au hujataka utaolewa tu na wige au unataka radhi wewe.
hahaha yule ni wako bhana 😂Wewe hebu watu wasije nipita wakijua nipo dabo na picha ya mchongo
Ngoja siku nikivurugwa nitalirudisha...ili rumaiya mwenyewe na kulikataaa Sasa😂😂Yna2 hilo jina nalikubali sana lirudishe basi!
Wige amesema mbona yeye humuombi selfie yake? Unajua mwenzako yuko serious alafu wewe unamkataa hadharani inauma sana!Halafu jana nimekuomba selfii
Za chini ya kapeti naskia ulikula nauli ya member mmoja hivyo ukaamua kubadili username 😂 yana ukweli wowote hayo Yna2.Ngoja siku nikivurugwa nitalirudisha...ili rumaiya mwenyewe na kulikataaa Sasa😂😂
Mimi nakutaka wewe aliyekutumaWige amesema mbona yeye humuombi selfie yake? Unajua mwenzako yuko serious alafu wewe unamkataa hadharani inauma sana!
Our byurufuu sis mjini hapa.Safari..safarini...mguu wa kutoka..
View attachment 2414347
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ndiyo bwana...nauli za watu hizi🙌🙌...😂😂Za chini ya kapeti naskia ulikula nauli ya member mmoja hivyo ukaamua kubadili username 😂 yana ukweli wowote hayo Yna2.
hahaha yule ni wako bhana 😂
mwarabu in Antonia's voice .
Pisi Kali yangu ya ujazo😍Our byurufuu sis mjini hapa.
Yaani hadi mikono mizuri jamani.