Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

thank you , nikipika utanionea huruma nakagua gesi mara mbili mbili na kiberiti .

Mwaka huu si mzuri kabisa , tuombe tu Mungu .
ooh pole kwake jamani
Ccy me hua nawaambia watu bora tu tuonekane washamba mim gesi naiogopa mno mno.
Nishaona matukio matatu ya moto ulosababishwa na gesi yani lkn huu wa jana hapana aiseh
Na kuna siku nilisahau heater kweny umeme. Umeme ulikua umekata heater ikawaka na haikua na maji ndani ikaungua ikatoboa ndoo ya mafuta ya kupikia ilikua jikoni pembeni kuna gesi, na kuna friji.

Mtoto angu alikua amelala hajui kutembea moshi ukajaa ndani mim nmeenda kumpokea mgeni kuna rafk angu mwingine alikua sebuleni ety mtoto angu aloshika kitandani akaenda kumshika huku analia ndo kwenda kuzima hapo kweny socket na mtu wa mfagio.

Nilivokuja kuhadisiwa baada ya kumpokea mgeni sikulala wala kula siku hyo nlishinda nmemkumbatia mtoto angu
 

Attachments

  • IMG_20221026_160215_393~2.jpg
    IMG_20221026_160215_393~2.jpg
    884.2 KB · Views: 5
Kama Unataka demu sema unataka aweje na mkienda viwanja je ungependa avaaje?
Unataka mwenye hips kama Antonnia
Unataka mwenye kiuno cha dondola kama Tinsley
Au awe mweupe kama Alayna
Au modo kama cocastic
Mwenye lips denda kama za sophy27
Au awe anajua kupika kama Saint Anne
Au mwenye mvuto kama Lenie
Au sauti nyororo kama Lovelovie
Au aliyeshika dini kama Heaven Sent
Au mwenye miguu ya bia kama Nuzulati
Mwenye chuchu sa sita kama Kelsea
Mwenye wowowo kama Rumaiya
Mwenye mapozi ya kimamtoni kama Lizzy
N.B vigezo masharti vimezingatiwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Khaaaa!!
 
Morning lover's..
Namshukuru Mungu kumekucha salama.
Usiku wa jana nyumba ya jirani tu imewaka moto yani kila kitu kimeteketea zilikuja fire tatu, Mbili zilishindwa ya tatu ndio ikazima tena wazima moto walikua wamevaa gumboots, t-shirt na mikoto ya suti na wengine masweta sijawai shuhudia tukio kwa ukaribu kama hilo inasikitisha sana.
Nyumba nayoishi imepakana karibu kabisa na hyo nyumba lkn nliishia kubeba kibubu na nguo za mtoto za baridi.
Mungu atunusuru na majanga.
Tujitahidi pia kua makini. Amen
Poker Antonnia To yeye cocastic Carrasco putin Wigelekelo Mjep Tinsley Saint Anne Mtoto halali na hela sophy27 National Anthem Lenie
Duh pole kwa hiyo experience..
Mungu awatie nguvu wahanga
 
Ccy me hua nawaambia watu bora tu tuonekane washamba mim gesi naiogopa mno mno.
Nishaona matukio matatu ya moto ulosababishwa na gesi yani lkn huu wa jana hapana aiseh
Na kuna siku nilisahau heater kweny umeme. Umeme ulikua umekata heater ikawaka na haikua na maji ndani ikaungua ikatoboa ndoo ya mafuta ya kupikia ilikua jikoni pembeni kuna gesi, na kuna friji.

Mtoto angu alikua amelala hajui kutembea moshi ukajaa ndani mim nmeenda kumpokea mgeni kuna rafk angu mwingine alikua sebuleni ety mtoto angu aloshika kitandani akaenda kumshika huku analia ndo kwenda kuzima hapo kweny socket na mtu wa mfagio.

Nilivokuja kuhadisiwa baada ya kumpokea mgeni sikulala wala kula siku hyo nlishinda nmemkumbatia mtoto angu
Mwee 😢


Jamani kama mkikaaa sebuleni watoto walazeni hapo hapo
 
Morning lover's..
Namshukuru Mungu kumekucha salama.
Usiku wa jana nyumba ya jirani tu imewaka moto yani kila kitu kimeteketea zilikuja fire tatu, Mbili zilishindwa ya tatu ndio ikazima tena wazima moto walikua wamevaa gumboots, t-shirt na mikoto ya suti na wengine masweta sijawai shuhudia tukio kwa ukaribu kama hilo inasikitisha sana.
Nyumba nayoishi imepakana karibu kabisa na hyo nyumba lkn nliishia kubeba kibubu na nguo za mtoto za baridi.
Mungu atunusuru na majanga.
Tujitahidi pia kua makini. Amen
Poker Antonnia To yeye cocastic Carrasco putin Wigelekelo Mjep Tinsley Saint Anne Mtoto halali na hela sophy27 National Anthem Lenie
Dah masikini😢
Ajali za moto zinarudisha watu nyuma jamani.. kutoka kuwa na kila kitu na kubaki bila kitu.

Ashukuriwe Mungu aliyewaponya.. Yeye mwenyewe anajua namna gani atawafidia.

Tuzidi kuchukua tahadhari dhidi ya majanga ya moto.
 
Back
Top Bottom