Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ccy me hua nawaambia watu bora tu tuonekane washamba mim gesi naiogopa mno mno.
Nishaona matukio matatu ya moto ulosababishwa na gesi yani lkn huu wa jana hapana aiseh
Na kuna siku nilisahau heater kweny umeme. Umeme ulikua umekata heater ikawaka na haikua na maji ndani ikaungua ikatoboa ndoo ya mafuta ya kupikia ilikua jikoni pembeni kuna gesi, na kuna friji.

Mtoto angu alikua amelala hajui kutembea moshi ukajaa ndani mim nmeenda kumpokea mgeni kuna rafk angu mwingine alikua sebuleni ety mtoto angu aloshika kitandani akaenda kumshika huku analia ndo kwenda kuzima hapo kweny socket na mtu wa mfagio.

Nilivokuja kuhadisiwa baada ya kumpokea mgeni sikulala wala kula siku hyo nlishinda nmemkumbatia mtoto angu
Hivi vifaa vya moto ni hatari sana.
Kuna gesi tulikaa nayo wiki 1 mtungi mkubwa 30 kgs ukakatika😂
Niliwaambia jamani hii gesi inavuja,, ilikuwa inanuka mno, wakasema kawaida..Ni Mungu tu alitunusuru haikulipuka maana harufu yake ilikuwa inasambaa jikoni kote hadi sebuleni.

Heater almanusura ichome nyumba.
Mtoto aliwasha akaitupia kwenye nguo.
Mama yake yupo nje anafua,machale yakamcheza akamuangalie mtotol kuja kustuka baadaye wanaona Moshi unatoka chumbani.

Mimi zangu kuni na mkaa.
Nikiwa na haraka natumia Kuni.
 
Hivi vifaa vya moto ni hatari sana.
Kuna gesi tulikaa nayo wiki 1 mtungi mkubwa 30 kgs ukakatika😂
Niliwaambia jamani hii gesi inavuja,, ilikuwa inanuka mno, wakasema kawaida..Ni Mungu tu alitunusuru haikulipuka maana harufu yake ilikuwa inasambaa jikoni kote hadi sebuleni.

Heater almanusura ichome nyumba.
Mtoto aliwasha akaitupia kwenye nguo.
Mama yake yupo nje anafua,machale yakamcheza akamuangalie mtotol kuja kustuka baadaye wanaona Moshi unatoka chumbani.

Mimi zangu kuni na mkaa.
Nikiwa na haraka natumia Kuni.
Yeah Kuni ni nzuri shida huku kwetu Kuni unatoa wapi. Ila sehem zingine me nkienda kuna Kuni napikia vzuri Alf chakula chake ni kutamu mno ☺️
 
Ccy me hua nawaambia watu bora tu tuonekane washamba mim gesi naiogopa mno mno.
Nishaona matukio matatu ya moto ulosababishwa na gesi yani lkn huu wa jana hapana aiseh
Na kuna siku nilisahau heater kweny umeme. Umeme ulikua umekata heater ikawaka na haikua na maji ndani ikaungua ikatoboa ndoo ya mafuta ya kupikia ilikua jikoni pembeni kuna gesi, na kuna friji.

Mtoto angu alikua amelala hajui kutembea moshi ukajaa ndani mim nmeenda kumpokea mgeni kuna rafk angu mwingine alikua sebuleni ety mtoto angu aloshika kitandani akaenda kumshika huku analia ndo kwenda kuzima hapo kweny socket na mtu wa mfagio.

Nilivokuja kuhadisiwa baada ya kumpokea mgeni sikulala wala kula siku hyo nlishinda nmemkumbatia mtoto angu
Pole Sana
inahitajika umakini mno na kumuomba Mungu tu .
heater si nzuri kutumia Bora hata birika la umeme.
 
Back
Top Bottom