Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Morning lover's..
Namshukuru Mungu kumekucha salama.
Usiku wa jana nyumba ya jirani tu imewaka moto yani kila kitu kimeteketea zilikuja fire tatu, Mbili zilishindwa ya tatu ndio ikazima tena wazima moto walikua wamevaa gumboots, t-shirt na mikoto ya suti na wengine masweta sijawai shuhudia tukio kwa ukaribu kama hilo inasikitisha sana.
Nyumba nayoishi imepakana karibu kabisa na hyo nyumba lkn nliishia kubeba kibubu na nguo za mtoto za baridi.
Mungu atunusuru na majanga.
Tujitahidi pia kua makini. Amen
Poker Antonnia To yeye cocastic Carrasco putin Wigelekelo Mjep Tinsley Saint Anne Mtoto halali na hela sophy27 National Anthem Lenie
Poleni sana sana
 
Bora ulitoa vitu hivyo .
Mungu awe nanyi na kuwapa faraja

gesi hizi tunazitumia basi tu .
Inahitajika umakini mkubwa.
Yani inahitajika umakini mkubwa sana.
Lkn nilichojifunza ccy kuokoa uhai ni muhimu vitu vingine vitatafutwa hapo ni ngumu kufikii hatua ambayo mtu kafikia lkn kuokoa uhai ni muhimu sana
 
Yani inahitajika umakini mkubwa sana.
Lkn nilichojifunza ccy kuokoa uhai ni muhimu vitu vingine vitatafutwa hapo ni ngumu kufikii hatua ambayo mtu kafikia lkn kuokoa uhai ni muhimu sana
Kweli dear upo sahihi
life is the most important thing .
Mungu awasaidie katika nyakati hizo

naogopaga gesi , nishawahi kunusurika ajali ya gesi wakati nipo chuo.
mtu aliacha gesi inaleak ndani humo, nimerudi nikafikia kulala ndani huko
 
Morning lover's..
Namshukuru Mungu kumekucha salama.
Usiku wa jana nyumba ya jirani tu imewaka moto yani kila kitu kimeteketea zilikuja fire tatu, Mbili zilishindwa ya tatu ndio ikazima tena wazima moto walikua wamevaa gumboots, t-shirt na mikoto ya suti na wengine masweta sijawai shuhudia tukio kwa ukaribu kama hilo inasikitisha sana.
Nyumba nayoishi imepakana karibu kabisa na hyo nyumba lkn nliishia kubeba kibubu na nguo za mtoto za baridi.
Mungu atunusuru na majanga.
Tujitahidi pia kua makini. Amen
Poker Antonnia To yeye cocastic Carrasco putin Wigelekelo Mjep Tinsley Saint Anne Mtoto halali na hela sophy27 National Anthem Lenie
Pole sana shemeji yangu kipenzi mzuri

Kibubu
 
Back
Top Bottom