Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,290
Mimi Ndiomana nisipokuepo siruhusu kabisa binti wa kazi apikie gesi nakua na wasiwasi yaeza walipukia make Junia mtundu sana anapenda ku jaribu jaribu vitu anavyoona mnavifanya wengine...plus mabinti wengine hawako makini yanii inaeza leta balaa kama hivo! Ni Hatari sana!!Kweli dear upo sahihi
life is the most important thing .
Mungu awasaidie katika nyakati hizo
naogopaga gesi , nishawahi kunusurika ajali ya gesi wakati nipo chuo.
mtu aliacha gesi inaleak ndani humo, nimerudi nikafikia kulala ndani huko
Kama jana Usiku ile nataka kupikia Gesi Junia aniambia leta niwashe mimi najua kuwasha mama..Nikamwambia wee mtoto koma kama ulivokoma kwenye ziwaa usiniletee balaa mie😉😣! Nilimkataza kabisa hio tabia!!