Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Balaaa 😂😂
siku tulienda wawili na yeye plus boyfriend wake hapo Mlimani city

tuliagiza masato , baadae shoga anatauambia bill imekuja kubwa.
yeye mwenzetu aliagiza chips sausage 😂😂
Mimi naonaga aibu balaa 😂mnakuwaga comfortable kabisa Kuna rafikyng alinifanyiaga tukio 😂
 
Balaaa [emoji23][emoji23]
siku tulienda wawili na yeye plus boyfriend wake hapo Mlimani city

tuliagiza masato , baadae shoga anatauambia bill imekuja kubwa.
yeye mwenzetu aliagiza chips sausage [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakufa mbavu cnaaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu kuna uzi jana jukwaa la Tech, wallaah nilichoka, watu wanalia ajira huko.

Na mie ilinigusa. Mweeeh.
Mie nipo mjini, maliza alafu uje ukae home utapa tu kazi tyuuu, tena na hivi mama anafungua nchii..
 

Attachments

  • 2955312_IMG_20211006_174916_0.jpg
    2955312_IMG_20211006_174916_0.jpg
    63.8 KB · Views: 6
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu kuna uzi jana jukwaa la Tech, wallaah nilichoka, watu wanalia ajira huko.

Na mie ilinigusa. Mweeeh.
kuna mtu ana G.P.A ya 4.6 ana angaika kupata kazi hapa, wakati na mie nina 2.7 namtazama tyuuu
 
Mimi naonaga aibu balaa [emoji23]mnakuwaga comfortable kabisa Kuna rafikyng alinifanyiaga tukio [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aliwapiga 3somes??? Eti shangaziiii
 
Back
Top Bottom