cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,296
mmh mie nilikuwa kapole tu sema tu siku hiyo niliagiza vya bei .Duh aiseee
Mlikuwa majasiri.
Mimi hadi leo mtu akinambia agiza huwa nakataa au naagiza kitu cha bei ndogo
Mimi aliniomba nimepeleke sehemu akaitajia jina la mtaa hakuniambia ni Kwa mtuwake alafu kwao ni gate Kali anaogopa kwenda mwenyew nikakubali kufika kumbe Kwa mpenz wake nae kuua Soo akasema nikae ndani nimsubir wanaongea tu chumba kimoja nimekaa kwenye kochi wao wamekaa mara wameshikana viuno mara kiss mara denda nikaona 😂😂adabu hawana nikaomba kwenda chooni 😂😂Sijawahi enda tena, kwanza hata shoga sina 😂😂.
Nikitoka naenda tu mwenyewe sehemu ya kawaida .
Inshaalaaah!! Iwe kheri.Mie nipo mjini, maliza alafu uje ukae home utapa tu kazi tyuuu, tena na hivi mama anafungua nchii..
hebu tucheke sie maisha ndo haya haya .Ntakufa nimecheka sana wallah.![]()
ELE au CP au CE au ME au ELEMEInshaalaaah!! Iwe kheri.
Mimi huwa naogopa kumtia mtu hasara,mmh mie nilikuwa kapole tu sema tu siku hiyo niliagiza vya bei .
hehehehe hao jamani sio poaMimi aliniomba nimepeleke sehemu akaitajia jina la mtaa hakuniambia ni Kwa mtuwake alafu kwao ni gate Kali anaogopa kwenda mwenyew nikakubali kufika kumbe Kwa mpenz wake nae kuua Soo akasema nikae ndani nimsubir wanaongea tu chumba kimoja nimekaa kwenye kochi wao wamekaa mara wameshikana viuno mara kiss mara denda nikaona 😂😂adabu hawana nikaomba kwenda chooni 😂😂
kuna mtu ana G.P.A ya 4.6 ana angaika kupata kazi hapa, wakati na mie nina 2.7 namtazama tyuuu





Naelewa hiyoMimi huwa naogopa kumtia mtu hasara,
Hata niwe na njaa vipi.
Nipoooo nimejaa teleee.Nilikumiss shosteee jomoneh
Mpe pole, mama anafungua nchi .. asiwe na wasi wasi
Kuna m1 iv kamaliiza petroleum mwaka huu, GPA 4.2 wallah yuko kwao anaendesha bajaji.
Had namuonea huruma.
Mchumba ndo huyo huyoHakuna mchumba hapo
1 kati ya hizo. Baadae wakati wa cheti mkononi, kila kitu kitakua wazi.ELE au CP au CE au ME au ELEME
Yanachosha mno mno.....Uzi me nakumbuka nlikua nanunua mjini bei ya jumla kitu kama elf 11Yale yanachosha Halafu uzi gharama.
Badooo sanaaaaa.Mpe pole, mama anafungua nchi .. asiwe na wasi wasi
Mlivunja rekodi😂😂😂😂😂Naelewa hiyo
si vizuri kuorder vya gharama , just a simple food inatosha .
mie hata chipsi yai naridhika
hongera aiseeadvance nimekulaaa maishaaaa, acha nizeeke tyuuh.
Nikipata hela za kutosha ntashona na ya Uzi piaYanachosha mno mno.....Uzi me nakumbuka nlikua nanunua mjini bei ya jumla kitu kama elf 11