Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Wewe sio mkristo utakuwaUngejua Wakristo hatunaga huruma
Hatukwepeshi maneno
Una atitude zote za makuhani na manabii wa uongo
Wewe sio mkristo utakuwaUngejua Wakristo hatunaga huruma
Hatukwepeshi maneno
Hivi kaka WigelekeloKwanini usingemalizia
Kwa kuniita vizuri
Wa namna yakoAnanikutia wapi?
Ofisi yakoUje chuoni ,ukiniulizia utanipata

Eti eeh!?Wa namna yako
Mnakuwa(ga) slope
Hamna(ga) mambo mengi
Wacha weeWewe sio mkristo utakuwa
Una atitude zote za makuhani na manabii wa uongo
Shalom Maranatha,Shalom mpendwa
Niangusaghe tuEti eeh!?
mweh nielekeze basiKidogooo
Lakini bado haileti
Ile test ya chumvi
Ebu jaribu tena
Tena tunaenda na njaa ya siku 3
Nipo poa vipi wewe ?Shalom Maranatha,
Mzima?
Ila wew si ulisema umeacha njia ovu wew mtumishi wa mwakasege au imekuaje tena mtu wa MunguAsante sana mkuu, jioni leo nitakuwa nakimbia kimbia navyo kupasha misuli.. ulezi wa first year muhimu mjini hapa
Mie mlezi tu wa first year sina baya.. nina org yangu ina deal na first year kwa sem one yote.. hakuna mbaya kabisaa mwana wa Mungu..ni malezi tu na ushauri na sahaIla wew si ulisema umeacha njia ovu wew mtumishi wa mwakasege au imekuaje tena mtu wa Mungu
Ngosha Wigelekelo cunajua nataka Mjep apate malkia wake wa nguvu kama wewe unavyoinjoy na Saint Anne
Aahh uongo bana iyo ni uongoooooooo😆😆…. Kama nawaona hao first year wa watuMie mlezi tu wa first year sina baya.. nina org yangu ina deal na first year kwa sem one yote.. hakuna mbaya kabisaa mwana wa Mungu..ni malezi tu na ushauri na saha
Nilifanyaga huo mchezo zamani baadae nikaona sio poa
Mungu ni mwemaNipo poa vipi wewe ?
how's your day going so far?