cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,298
hehehehe hao jamani sio poa
ndo nini kufanya hivyo mbele zako aisee . si wangekuambia uende tu .
hukumsema huyo rafiki yako ?





hawaku jiskia aibu??hehehehe hao jamani sio poa
ndo nini kufanya hivyo mbele zako aisee . si wangekuambia uende tu .
hukumsema huyo rafiki yako ?





hawaku jiskia aibu??Cocaaaaaah kama CocaNipoooo nimejaa teleee.
hongera aisee
mie sijawahi kula maisha
nipo zangu hivi hivi





changamka changamka weeZinakujaaaaaaCocaaaaaah kama Coca
Tunaomba selfii sasa
Mim ccy siwez kushona tena eeeh unaweza liaNikipata hela za kutosha ntashona na ya Uzi pia
Ngoja sasahivi nishone haya ya vitambaa vya Bure😂
Alitoa tu hivyo hivyo si unajua wanachuo tena enzi hizo .Mlivunja rekodi😂😂😂😂😂
Mara moja moja siyo mbaya
Nayeye alikaaje bila hela ya kutosha?
mweh sina hela kwanzachangamka changamka wee
Hapana aunt😂😂 ila wewaliwapiga 3somes??? Eti shangaziiii
Walifanya jambo la maana sana 😂Mlivunja rekodi😂😂😂😂😂
Mara moja moja siyo mbaya
Nayeye alikaaje bila hela ya kutosha?
duh huyo Dada aisee hajaacha tuAliona aibu nilivotoka nae hakuchelewa akaja akajifanya turudi nyumbani nikijisikia aibu sana
Mimi sio muongeaji Tena hasa kipindi hiko afadhali sahiz sikumwambia chochote lakini
Mara ya pili wakati tushakua wakubwa sana nikamtembelea kwake akanitoa si akaja na mpenzwake wakaanza kunywa nikasema Leo sifanyi makosa nikanywa soda moja nne nikabeba 😂😂nikamwambia nirudishe nikalale
Aliona aibu nilivotoka nae hakuchelewa akaja akajifanya turudi nyumbani nikijisikia aibu sana
Mimi sio muongeaji Tena hasa kipindi hiko afadhali sahiz sikumwambia chochote lakini
Mara ya pili wakati tushakua wakubwa sana nikamtembelea kwake akanitoa si akaja na mpenzwake wakaanza kunywa nikasema Leo sifanyi makosa nikanywa soda moja nne nikabebanikamwambia nirudishe nikalale







shangaziiiiiiii mie sitakiiiii. UwiiiiiiihHapana auntila wew







shangaziiiiiii maana Dunia ishaeleaa hii bado kuzama tyuuh.Kabisa mm uzungu siuwez Kuna watu neno aibu hawaliewag kabisa alafu anakunywa mm sinywi hapo ndo tunakosana kabisa hatuendani ila tuna kma miaka 5 hatujaonana kilamtu kimpango wakeduh huyo Dada aisee hajaacha tu
bora uliondoka mapema aisee
alitaka akufanyie marudio yake .
Mimi mtu nikikuona siendani nae , navunja urafiki aisee .
mtu hadi unaonekana una tabia mbaya kisa yeye .
No time for toxic friends
😂😂😂Iyo Ilikuwa kitambo kidogo siunjua auntyako umri umeenda😂shangaziiiiiii maana Dunia ishaeleaa hii bado kuzama tyuuh.
Shangazi ungekuwa wew ningekuvuta shavu😂shangaziiiiiiii mie sitakiiiii. Uwiiiiiiih
Kabisa mm uzungu siuwez Kuna watu neno aibu hawaliewag kabisa alafu anakunywa mm sinywi hapo ndo tunakosana kabisa hatuendani ila tuna kma miaka 5 hatujaonana kilamtu kimpango wake
Khaaaa!..Walifanya jambo la maana sana 😂
Akaweka heshima na bumAlitoa tu hivyo hivyo si unajua wanachuo tena enzi hizo .
niliaacha hiyo tabia o levo , advance nilikuwa huru sana , japo sikutumia chance hiyo ... mtu wa ndani tu
Iyo Ilikuwa kitambo kidogo siunjua auntyako umri umeenda
![]()




shangaziii nawee ungeomba denda lol.Haahha kabisaAkaweka heshima na bum
Safi sana
Baada ya siku kadhaa anaanza kula mikate kama waisraeli