Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huwezi kuwasemea mazuri

Kwanza ningeshangaa
Mazuri kivp? Kwan hapa nlichosema n uongo, akat n kweli.

Tena bora mie ambaye hata huo mda wa kufuatilia hao watoto sina, wao hawa wanaosararuka nao, ndo wanaosema tena wazi wazi.



Mbna mwaka jan ambao n 2nd yr now, ni vyuma hatareee, na nliweka wazi hata yeye Mr kahawa nlimuambia.
 
kape namba yangu basi, maana mie mwenye nipo hapa.. nitaangalia ubini kama ukichomoa, maana najua kwenye kusaka hostel kataangukia mkononi mwa mlezi mie
😂😂😂 ukiangalia ubini unafail
Ye sijui ilikwaje
Majina saw ila mpangilio tofauti.

So ukimtafuta na langu huwezi mpata.
Na la kati ni yale majina ya kikristoo wengi wanayo
 
😂😂😂 ukiangalia ubini unafail
Ye sijui ilikwaje
Majina saw ila mpangilio tofauti.

So ukimtafuta na langu huwezi mpata.
Na la kati ni yale majina ya kikristoo wengi wanayo
kwani nikamsaidia kupata hostel au akifika hapa kwangu hata kwa mwezi kuna shida gani, maana nakaa hapa hapa karibu na chuo dk sifuri unaingia chuo.. atapunguza gharama za hostel, za chakula etc
 
Balaaa 😂😂
siku tulienda wawili na yeye plus boyfriend wake hapo Mlimani city

tuliagiza masato , baadae shoga anatauambia bill imekuja kubwa.
yeye mwenzetu aliagiza chips sausage 😂😂
watoto wa dar mnapitia magumu sana
 
kudadeq nitakubondaaa

Kenyewe kwanza kapo kuangahika anatafuta hostel za ndani..

cocastic eti hostel za Makongo ndio wapi? Kwa wanafunzi wa Ardhi?
Kwan had now hajapata hostel? Hostel si zile za makongo ile pacha ya kuelekea ubungo. Au?
 
hehhe sikuwa chuo nilikuwa o level
rafiki yangu alikuwa mpana huyo , tukitoka tuition namsindikiza kwa boyfriend wake
daah mie aceh nikae kmyaa, naana kwa heka heka na harakati zangu, ntakufa miguu nimenyoosha juu.
 
Back
Top Bottom