Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila pasta huwa anatoa za matumizi za kutosha
Hapa utapewa dolari

Usiwaze kabisa halafu nitakuletea

Hizi sabuni nguo zako ni kunukia tu

Ki Saint Anne
IMG-20221022-WA0018.jpg
 
cocastic umeona vi first year vyangu... jana nilikuwa ARU ni mwendo wa kuvifanyia orientation tu na kuvionesha mitaa ya mji...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ushadaka nyonyoma wako?? Vi 1St yr vya mwaka huu hapa UD vibovu balaa. Sio vya kiume wala kike.

Ni tafrani tupuuu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ushadaka nyonyoma wako?? Vi 1St yr vya mwaka huu hapa UD vibovu balaa. Sio vya kiume wala kike.

Ni tafrani tupuuu.
Ndio maana nime hamia ARU.. kuna ka dogo kake na Depal acha nifanye leo lokoo mida yangu.. next week naenda TIA kufundisha kozi za kijamii nitaleta mrejesho
 
Nilifanyaga huo mchezo zamani baadae nikaona sio poa

siku nimeenda nao aisee nilikuwa na huzuni nipo mwenyewe tu , wao muda wote wanabebika ,

kula nilikula ila nilibaki kuchezea simu muda wote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi machoziiiiii, dents wa chuo ndo zao hizo.
 
Ndio maana nime hamia ARU.. kuna ka dogo kake na Depal acha nifanye leo lokoo mida yangu.. next week naenda TIA kufundisha kozi za kijamii nitaleta mrejesho
🤣🤣🤣🤣 kudadeq nitakubondaaa

Kenyewe kwanza kapo kuangahika anatafuta hostel za ndani..

cocastic eti hostel za Makongo ndio wapi? Kwa wanafunzi wa Ardhi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi machoziiiiii, dents wa chuo ndo zao hizo.
hehhe sikuwa chuo nilikuwa o level 😂😂
rafiki yangu alikuwa mpana huyo , tukitoka tuition namsindikiza kwa boyfriend wake
 
🤣🤣🤣🤣 kudadeq nitakubondaaa

Kenyewe kwanza kapo kuangahika anatafuta hostel za ndani..

cocastic eti hostel za Makongo ndio wapi? Kwa wanafunzi wa Ardhi?
kape namba yangu basi, maana mie mwenye nipo hapa.. nitaangalia ubini kama ukichomoa, maana najua kwenye kusaka hostel kataangukia mkononi mwa mlezi mie
 
Back
Top Bottom