Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Ila pasta huwa anatoa za matumizi za kutoshaNiangusaghe tu
Ila pasta huwa anatoa za matumizi za kutoshaNiangusaghe tu
Mbna ilikua mapema.nimetoka , nipo nashangaa huku .





afu kuna jamaa m1 nlikua namfananisha nawee. 




nimecheka had machoziiiiiiiKiuno nyigu miyeyushoNgosha Wigelekelo cunajua nataka Mjep apate malkia wake wa nguvu kama wewe unavyoinjoy na Saint Anne
Hapa utapewa dolariIla pasta huwa anatoa za matumizi za kutosha
Tall n Dark alikuwaafu kuna jamaa m1 nlikua namfananisha nawee.
Yaan had nkawa najisemea ukute n yeye, uwiiiiiiiih.

Kama ni kule itakuwa ni mimiafu kuna jamaa m1 nlikua namfananisha nawee.
Yaan had nkawa najisemea ukute n yeye, uwiiiiiiiih.

Huwezi kuwasemea mazuriushadaka nyonyoma wako?? Vi 1St yr vya mwaka huu hapa UD vibovu balaa. Sio vya kiume wala kike.
Ni tafrani tupuuu.







Ndio maana nime hamia ARU.. kuna ka dogo kake na Depal acha nifanye leo lokoo mida yangu.. next week naenda TIA kufundisha kozi za kijamii nitaleta mrejeshoushadaka nyonyoma wako?? Vi 1St yr vya mwaka huu hapa UD vibovu balaa. Sio vya kiume wala kike.
Ni tafrani tupuuu.
Nilifanyaga huo mchezo zamani baadae nikaona sio poa
siku nimeenda nao aisee nilikuwa na huzuni nipo mwenyewe tu , wao muda wote wanabebika ,
kula nilikula ila nilibaki kuchezea simu muda wote






nimecheka hadi machoziiiiii, dents wa chuo ndo zao hizo.🤣🤣🤣🤣 kudadeq nitakubondaaaNdio maana nime hamia ARU.. kuna ka dogo kake na Depal acha nifanye leo lokoo mida yangu.. next week naenda TIA kufundisha kozi za kijamii nitaleta mrejesho
Kama ni kule itakuwa ni mimi
Vipi hukulowa ulivyoniona![]()





khaaaaah, nilowee kwa kipi tenaa? hehhe sikuwa chuo nilikuwa o level 😂😂nimecheka hadi machoziiiiii, dents wa chuo ndo zao hizo.
😂😂😂
kape namba yangu basi, maana mie mwenye nipo hapa.. nitaangalia ubini kama ukichomoa, maana najua kwenye kusaka hostel kataangukia mkononi mwa mlezi mie🤣🤣🤣🤣 kudadeq nitakubondaaa
Kenyewe kwanza kapo kuangahika anatafuta hostel za ndani..
cocastic eti hostel za Makongo ndio wapi? Kwa wanafunzi wa Ardhi?