myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
Salam kwenu wadau..
Veeeeery nice snaps dear!...
Umeacha message za mdada tu, zako umefuta we shenz, hutaki tuone ulivyokuwa unajilizaliza na kubembeleza usiachwe, kwamba utateseka 😁😁😁 mwanawane mzabzab njoo umuone huyu anataka maombi baada ya kuachwa, badala atuchukue wana tukale manyama na mabia
Alikuwa anatia mgomo wa kuachika 🤠🤠
Ukiachwa achika
Karibu chama la ma single mzee,Ukiachwa achika 😊😊😊Demu kazingua sana.. Narudi square 1.
Huu wimbo ni fire, umerudisha kwenye events kadhaa nyumaa 😊😊😊.. Yupo na mzee Ludacris
Unajisifia wee, demu mwenyewe cha wote huyo 🤠🤠🤠Baraka inapotoka kwa Mungu lengo lake ni kukufanya umpende Mungu kupitia wenzako.”
Mbarikiwe sana
Acheni mapenzi yaitwe mapenzi nyie mlio single unakula chakula ili iweje sasa bora mfe tu![]()
Nyoko we 😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣Umeacha message za mdada tu, zako umefuta we shenz, hutaki tuone ulivyokuwa unajilizaliza na kubembeleza usiachwe, kwamba utateseka 😁😁😁 mwanawane mzabzab njoo umuone huyu anataka maombi baada ya kuachwa, badala atuchukue wana tukale manyama na mabia
😀😀😀 Risk za mpenzi, huli mbususu hadi upate mwingine.. Ukila mbusus ya kuokotaNyoko we 😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣
Ukitemwa temekaAlikuwa anatia mgomo wa kuachika 🤠🤠
🤠🤠 Unakuta alipata mpenzi wa dawaUkitemwa temeka
Ulimsave na tu-emoji twa kopa kopa kabisa 😂lakini bado kawa mkavu anakuambia “am done with you”
Mdada hadi anamuambia "We unateseka nini" 🤠🤠🤠🤠Ulimsave na tu-emoji twa kopa kopa kabisa 😂lakini bado kawa mkavu anakuambia “am done with you”
Ungemjibu “baridi barafu mwamba”🤣
Anaonekana alikuwa king’ang’anizi sana, naona Kama kujidharau/kujishusha sanaMdada hadi anamuambia "We unateseka nini" 🤠🤠🤠🤠
Huenda alikuwa anapewa vitu amazing akanasa na kunasika, umeona jina alilo kuwa ama save 🤠🤠Anaonekana alikuwa king’ang’anizi sana, naona Kama kujidharau/kujishusha sana