Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Mtakatifu unapata dhambi ya kututamanisha ujue
Mtakatifu unapata dhambi ya kututamanisha ujue
Kopa za kutosha😅Huenda alikuwa anapewa vitu amazing akanasa na kunasika, umeona jina alilo kuwa ama save 🤠🤠
🤠🤠 Anataka maombi ndio shida, Mad Max leo viwanja wapi, tupige misosi vilaji ana msahahu huyu mtu chap chapKopa za kutosha😅
Mjulie hali aiseh,tusije kumkosa mwanaume mwenzetu,asije kujinyonga au kupata ajali
Kilaji mtamuongezea stress ,zikiisha kichwani atarudi kwenye mawazo😃..🤠🤠 Anataka maombi ndio shida, Mad Max leo viwanja wapi, tupige misosi vilaji ana msahahu huyu mtu chap chap
Hahaa hiyo talaka unipe mara ngapi sasa jamaniUnapenda kusifia wengine
Hivi ukoje lakini
Nitakulima talaka
UliponitelekezaToka lini
Nakupigia
Tutampa ka kinchechede kamoja matata, kakamfanyie maajabu ya kuubwa dunia.. Hatokaa akamuwaza huyo bibi bomba wake walie achana 🤣🤣Kilaji mtamuongezea stress ,zikiisha kichwani atarudi kwenye mawazo😃..
Stress za kuachwa miezi miwili ni kama usingizi tu kuna muda huisha na kuna muda hurudi hivyo awe busy tu mambo yake
Salama mpendwa katika BwanaHabari zenu wapendwa katika bwana
Hakikisha kichenchede kina sifa Kama za bibie hapoTutampa ka kinchechede kamoja matata, kakamfanyie maajabu ya kuubwa dunia.. Hatokaa akamuwaza huyo bibi bomba wake walie achana 🤣🤣
Naelewa mambo ayapendayo kijana Mad Max acha aamke na wenge 🤠🤠Hakikisha kichenchede kina sifa Kama za bibie hapo
Jamaa yupo hai mbona 😊😊Naona taarifa kama hizi inabidi ujiridhishe kwanza kama ni kweli kabla ya kupost
Njoo ule dada mzuri 🥰Mtakatifu unapata dhambi ya kututamanisha ujue
🤣🤣🤣🤠🤠 Unakuta alipata mpenzi wa dawa
Leo siku ya kupiga kinywaji, afe kipa afe beki, lazima nileweKilaji mtamuongezea stress ,zikiisha kichwani atarudi kwenye mawazo😃..
Stress za kuachwa miezi miwili ni kama usingizi tu kuna muda huisha na kuna muda hurudi hivyo awe busy tu mambo yake
🤠🤠 Hapo kama nakuona kila uki memorize mautamu kama moyo na kichwaa paaaa... Tulia kijana.. Mchana nakuletea bonge la mtoto hatarii sana.. Huyo una msahahu second moja uta wipe moyo wote unaanza fanya installation upyaa 🤣🤣🤣🤣🤣 Sijanywa sumu jana, ngoja nione week liishe ili..
Kidemu chenyewe futi 4 hakifiki🤠🤠 Hapo kama nakuona kila uki memorize mautamu kama moyo na kichwaa paaaa... Tulia kijana.. Mchana nakuletea bonge la mtoto hatarii sana.. Huyo una msahahu second moja uta wipe moyo wote unaanza fanya installation upyaa 🤣🤣