Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yah!
Hata kwenye huduma tunazoenda,kunakuwa na mgawanyiko;
Wengine ni special Kwa ajili ya maombi tu power room..hawafanyi kazi nyingine yoyote.
Wengine akina sisi kuzunguka mitaani kuhubiri..kuruka kwenye mapambio huko.


Hata watumishi wanaofunga hizo kavu wana utaratibu wao mzuri wanajiwekea.

Sasa mwenzangu na mm niende tatu kavu,si watakufa nimezimia kwenye kashkash za kupigania mwendokasi pale kivukoni.
linapojuja swala la kambi kwaajili ya maombi pale church kiukweli nikiwekwa orodhani huwa napatwa na excuse kibao Yani sijui kama nitakuja kuweza MTU anafunga siku ya Tatu jicho jekundu kama linatoka mambo ya kumaliza Tatu kavu then

Unaenda kuwekewa drip alafu ukute sukari imeshuka
Sio poa.
 
linapojuja swala la kambi kwaajili ya maombi pale church kiukweli nikiwekwa orodhani huwa napatwa na excuse kibao Yani sijui kama nitakuja kuweza MTU anafunga siku ya Tatu jicho jekundu kama linatoka mambo ya kumaliza Tatu kavu then

Unaenda kuwekewa drip alafu ukute sukari imeshuka
Sio poa.

Funga hadi unapoweza Mkuu
Ukisema ufuate watu aisee utazimia..
Kila mtu Mungu Amempa neema Yake,tunatofautiana.
 
da pole maana najua adhabu yake
Salbutamol hazikosi.
Kifua changu hakichelewi kujibu...
Nilivyo sugu,hata blanket huwa sijifuniki.
Najifunika Shuka.

Baada ya kelele za bimkubwa nikatafuta kiblanket Cha kishkaji..
Yale ya manyoya huwa situmii.

Hivi nikienda nitakuta amefua ameniwekea.
 
Salbutamol hazikosi.
Kifua changu hakichelewi kujibu...
Nilivyo sugu,hata blanket huwa sijifuniki.
Najifunika Shuka.

Baada ya kelele za bimkubwa nikatafuta kiblanket Cha kishkaji..
Yale ya manyoya huwa situmii.

Hivi nikienda nitakuta amefua ameniwekea.
Yani ukizoea mji mmoja tabu kweli mfano Mimi nishazoea DSM nikienda mkoa tofaut wenye baridi ni fire
 
Back
Top Bottom