Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Na hapo mwili wote unapata motommh shida yanni
mafua si mafua , kama ya wazungu .
Kichwa,huwa kinakujaa hadi kifua kikali..Baadaye kinamalizia kikohozi.
Na hapo mwili wote unapata motommh shida yanni
mafua si mafua , kama ya wazungu .
umenitamanisha , kinavutia
nguvu pia zinakuishiaNa hapo mwili wote unapata moto
Kichwa,huwa kinakujaa hadi kifua kikali..Baadaye kinamalizia kikohozi.
Hiki Cha juzi.umenitamanisha , kinavutia
mwenzio nakula saa moja
Ile ya kuweka puani?nguvu pia zinakuishia
dry mouth
aisee hatari tupu
kuna vidawa vya wachina vilikuwa vidogo kwenye kachupa ukinusa tu yamepotea

ooh pole sanaHiki Cha juzi.
Recently nimepoteza hamu ya kula...napata shida..inafika usiku sijala chochomote tangu asubuhi .
Inabidi nikaange viazi Nile ili njaa isije kuniua.
ooh pole sana
mie nilikuwa karoho jioni situlii hadi nipate kanyama aise nimeacha juzi tu hapa .
najisemea moyoni inabidi nibadilike nitafunga kweli kwa stye hiii .




ya kuweka puani ndioIle ya kuweka puani?
Tumia pia nasal spray,japo naonaga mafua yakishakua makali hazifanyi chochote.
Hapo dawa ni zoezi na hizo Coldrill..Zile Toff plus ganda lake linasabisha kifua kubana .
Mafua yanapausha
Mimi huwa Nina cetrizen muda wote .nikiona tu dalili huyooo najiwahi.
Mwee poleya kuweka puani ndio
haya mafua nimejitafutia mwenyewe nilikaa kwenye baridi usiku huku nmevaa kikata mikono .
asante kwa ushauri dear


12 hours naweza ila huko kuendelea aisee sijui inabidi nijarbu .
Anza mazoezi taratibu..6hrs
10hrs then 12 hrs
Mm fasting imekuwa ratiba yangu ..yaani hata siku nisizosali bado nafunga tu.
Nataka nianze ya 24 hrs..maana 12 hrs naona kawaida...
Inafika muda wa kufungua nakuwa Sina njaa.
Cetrizine ndo dawa ongezea na prednisolone iyo kiboko inakausha kabisa mafua.Ile ya kuweka puani?
Tumia pia nasal spray,japo naonaga mafua yakishakua makali hazifanyi chochote.
Hapo dawa ni zoezi na hizo Coldrill..Zile Toff plus ganda lake linasabisha kifua kubana .
Mafua yanapausha
Mimi huwa Nina cetrizen muda wote .nikiona tu dalili huyooo najiwahi.
asante , vinguo hiviMwee pole
Kata mkono imekuponza![]()
Ninazo zote.Cetrizine ndo dawa ongezea na prednisolone iyo kiboko inakausha kabisa mafua.
Mimi pia nna alej na vumbi,baridi,harufu Kali ata nisafiri wapi pred, cetrizine huwa hazikosekani nazibeba hata dozen na diclofenac zile ndogo.Ninazo zote.
Huwa natumia Salbutamol na pred Kwa sababu ya shida yangu ya aleji.
Sema pred huwa zinaniletea njaa.
siku ya kwanza nafunga nilikuwa grade three , nilizimia
Anza mazoezi taratibu..6hrs
10hrs then 12 hrs
Mm fasting imekuwa ratiba yangu ..yaani hata siku nisizosali bado nafunga tu.
Nataka nianze ya 24 hrs..maana 12 hrs naona kawaida...
Inafika muda wa kufungua nakuwa Sina njaa.
3 kavu hata Kwa bunduki siendi.12 hours naweza ila huko kuendelea aisee sijui inabidi nijarbu .
ukiweza 24 hours ni rahisi kwenda tatu kavu





siku ya kwanza nafunga nilikuwa grade three , nilizimia
mama alikuwa ananionea huruma ananiambia njoo ule , nusu siku inatosha














