Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

haha nimecheka
sio mchezo kuwa mama mchungaji .. nilikuwa natamanigi zamani wakti nipo so innocent .
Kwanza lazima ujue kupika chai ile kisawasawa.

Kuna Mtumishi akisema tuimbe aisee mnaweza kukesha hapo msilale..Na bado hajaachilia mafunuo mengine.

Cha kufia Nini?
Ninataka mwanaume niliyempita kiwango Cha ibada,au tuwe level .
Nitapiga goti muda wote,yeye atafute Hela.
Siyo wote tumekaa 24 hrs tunasali
 
Kwanza lazima ujue kupika chai ile kisawasawa.

Kuna Mtumishi akisema tuimbe aisee mnaweza kukesha hapo msilale..Na bado hajaachilia mafunuo mengine.

Cha kufia Nini?
Ninataka mwanaume niliyempita kiwango Cha ibada,au tuwe level .
Nitapiga goti muda wote,yeye atafute Hela.
Siyo wote tumekaa 24 hrs tunasali
yahitaji moyo aisee , sio kazi rahisi . ule ni wito kweli kweli
haha uwe na moyo mkunjufu kupokea wageni daily.
 
kuna mtu namfaham yeye kisa kilikuwa hicho .
kila saa anakuna pua dah
Mimi pua haiwashi ila zinaziba,hazipotishi hewa vizuri.
Kuna nyama ndani ya pua zinavimba hadi zinapelekea hewa kutokupenya vizuri.

Kama wagonjwa wengine wa aleji za nyama,samaki..nk
Sisi pia tukikutana stimulus kama vumbi,uvundo,perfume,manyoya ya paka nk hivi vitu vinastimulate hali ya kuvimba.
Hali ni ngumu kutoka maana vumbi,harufu ni kitu kisichokwepeka maishani.
 
IMG-20220924-WA0034.jpg
 
Back
Top Bottom