Themann
JF-Expert Member
- Apr 15, 2022
- 3,844
- 16,094
3 kavu ile ni kipaji usijalibu3 kavu hata Kwa bunduki siendi.
24 hrs nakuwaga kama mbwa mgonjwa ile muda wa kufungua.
Acha niishie 15hrs.
waachie wainjilisti3 kavu ile ni kipaji usijalibu3 kavu hata Kwa bunduki siendi.
24 hrs nakuwaga kama mbwa mgonjwa ile muda wa kufungua.
Acha niishie 15hrs.
waachie wainjilistiPole Mkuu.Mimi pia nna alej na vumbi,baridi,harufu Kali ata nisafiri wapi pred, cetrizine huwa hazikosekani nazibeba hata dozen na diclofenac zile ndogo.

Wala sitaki aisee.3 kavu ile ni kipaji usijalibuwaachie wainjilisti
hahaha tuombe roho mtakatifu atuwezeshe3 kavu hata Kwa bunduki siendi.
24 hrs nakuwaga kama mbwa mgonjwa ile muda wa kufungua.
Acha niishie 15hrs.
Pole Mkuu.
Hii shida mm inaanikera.
Yaani hapa hizo dawa ninazo kama kitambulisho
Sijawahi kuzikosa na hazijawahi kuisha Kwa mpigo.
Sasahivi nataka nipambane na maombi..hii hali imenichosha.
Maombi ni option pekee niliyobakiza.

sasa mbeya unaishije na iyo Barid maana nikijaga mbeya huwa usiku lazima nimeze pred moja na cetrizine ndo nilale laa sivyo pua zote zinazibaWala sitaki aisee.
12 hrs inatosha
Naweza funga hata mwezi.
Ila ooh sijui Moja kavu,3 kavu aisee hicho kipawa Sina.


Mkuu huyu ndo wewe unaambiwa?
poleni aiseePole Mkuu.
Hii shida mm inaanikera.
Yaani hapa hizo dawa ninazo kama kitambulisho
Sijawahi kuzikosa na hazijawahi kuisha Kwa mpigo.
Sasahivi nataka nipambane na maombi..hii hali imenichosha.
Maombi ni option pekee niliyobakiza.
Amen! Misspoleni aisee
Mungu awaponye
Sina mpango wa kuolewa na watumishihahaha tuombe roho mtakatifu atuwezeshe
ukiwa mke wa mchungaji , lazima tu utafunga


Amenpoleni aisee
Mungu awaponye

Kwanza maji na damu vinatumika sana ukifunga.
Pua kuziba ni maisha yangu ya siku zotesasa mbeya unaishije na iyo Barid maana nikijaga mbeya huwa usiku lazima nimeze pred moja na cetrizine ndo nilale laa sivyo pua zote zinaziba

.Ndio mana huwa wanawekaga makambi Yani mwendo ni kuomba hamna KAZI ngumu Tatu kavu huwezi fungia nyumbani lazima uweke kambi mahali.Kwanza maji na damu vinatumika sana ukifunga.
Na uwe una shughuli zinatotumia Sanaa nguvu halafu eti unaenda tatu kavu!Mbona watakuokota umezima.
Pua kuziba ni maisha yangu ya siku zote
Ila Mimi huwa zinaziba Kwa zamu.
Naishi hivyohivyo japo ndio kifua kinajibu kila baada ya muda.
Now nimepumzika mwaka mzima jiji lao la fukuto la joto.
Narudi zangu tena nikapambane na baridi Mbeya.

aisee pole Mimi nilishajijua sehemu zenye baridi zilishanikaaga muda Tu so nikienda nakwenda na dawa zangu.Yah!Ndio mana huwa wanawekaga makambi Yani mwendo ni kuomba hamna KAZI ngumu Tatu kavu huwezi fungia nyumbani lazima uweke kambi mahali.
Kibaya zaidi nna pumu ikicharuka balaa natembea na kidude changu Kile popote.Pua kuziba ni maisha yangu ya siku zote
Ila Mimi huwa zinaziba Kwa zamu.
Naishi hivyohivyo japo ndio kifua kinajibu kila baada ya muda.
Now nimepumzika mwaka mzima jiji lao la fukuto la joto.
Narudi zangu tena nikapambane na baridi Mbeya.
Mimi nishazoea huko maana nimekulia hukoaisee pole Mimi nilishajijua sehemu zenye baridi zilishanikaaga muda Tu so nikienda nakwenda na dawa zangu.

Hadi nizoee tena yale nazingira.UwiiKibaya zaidi nna pumu ikicharuka balaa natembea na kidude changu Kile popote.
