AlexProsper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,408
- 6,273
Yani hapo ndo waga sielewi kuna mda waga haioneshihahaha
app ipo slow na bado ionyeshe jina la simu .
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Yani hapo ndo waga sielewi kuna mda waga haioneshihahaha
app ipo slow na bado ionyeshe jina la simu .
inaload tu , hamna kituYani hapo ndo waga sielewi kuna mda waga haioneshi
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Nielezee kidogo hapoinaload tu , hamna kitu
tumia web version
ingia chrome kwa simu yako then andika hapo jamii forums itakuja then login uingie kama kawa .
Hebu pindua nioneee,Mimi nataka kupindua meza





Asante kwa maelezo ngoja nifanyie kaziingia chrome kwa simu yako then andika hapo jamii forums itakuja then login uingie kama kawa .
unapata notification kwa wakati
page zinaload faster kwa app kila saa urefresh tu
Bila shakaUna uhakika?
Hivi kwann ukipost kitu kama unatumia inifinix na tecno humu JF ndyo zinaonekana kwamba huyu anatumia hii simu sijapenda bora mm natumia pc![]()





kwamba infinix na Tecno zina nn? Watu tunatamba nazo, na hatujari wala nn. okay thanks pia
Imekubali ntaenda nayo mdogomdogookay thanks pia
🤣🤣🤣
Oky diaokay thanks pia

Niache nipo busy huku Sudan nasikia utopolo hawana raha kunaninikwamba infinix na Tecno zina nn? Watu tunatamba nazo, na hatujari wala nn.
Nilishashindwa kutumia JF kwenye PC. naserereka na infinieeee angu.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app






Ilikuwa inanikera balaa watu wapo kwenye iphone 14 sisi wanatuandikia Infinix zetu majukwaani😂😂kwamba infinix na Tecno zina nn? Watu tunatamba nazo, na hatujari wala nn.
Nilishashindwa kutumia JF kwenye PC. naserereka na infinieeee angu.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kwahiyo mimi jambazi?Bila shaka
Tecno sio simuIlikuwa inanikera balaa watu wapo kwenye iphone 14 sisi wanatuandikia Infinix zetu majukwaani😂😂