AlexProsper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,414
- 6,284
Yani hapo ndo waga sielewi kuna mda waga haioneshihahaha
app ipo slow na bado ionyeshe jina la simu .
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Yani hapo ndo waga sielewi kuna mda waga haioneshihahaha
app ipo slow na bado ionyeshe jina la simu .
inaload tu , hamna kituYani hapo ndo waga sielewi kuna mda waga haioneshi
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Nielezee kidogo hapoinaload tu , hamna kitu
tumia web version
ingia chrome kwa simu yako then andika hapo jamii forums itakuja then login uingie kama kawa .
Hebu pindua nioneee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nataka kupindua meza
Asante kwa maelezo ngoja nifanyie kaziingia chrome kwa simu yako then andika hapo jamii forums itakuja then login uingie kama kawa .
unapata notification kwa wakati
page zinaload faster kwa app kila saa urefresh tu
Bila shakaUna uhakika?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwamba infinix na Tecno zina nn? Watu tunatamba nazo, na hatujari wala nn.Hivi kwann ukipost kitu kama unatumia inifinix na tecno humu JF ndyo zinaonekana kwamba huyu anatumia hii simu sijapenda bora mm natumia pc [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
okay thanks pia
Imekubali ntaenda nayo mdogomdogookay thanks pia
🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ntakubonda shangazi?? Wee haya tyuuuh
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Oky dia [emoji41]okay thanks pia
Niache nipo busy huku Sudan nasikia utopolo hawana raha kunanini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwamba infinix na Tecno zina nn? Watu tunatamba nazo, na hatujari wala nn.
Nilishashindwa kutumia JF kwenye PC. naserereka na infinieeee angu.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ilikuwa inanikera balaa watu wapo kwenye iphone 14 sisi wanatuandikia Infinix zetu majukwaani😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwamba infinix na Tecno zina nn? Watu tunatamba nazo, na hatujari wala nn.
Nilishashindwa kutumia JF kwenye PC. naserereka na infinieeee angu.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kwahiyo mimi jambazi?Bila shaka
Mm nakumbuka kitambi na komwe tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]Nijipost au mnanikumbuka[emoji23][emoji23][emoji23]
TumekusahauNijipost au mnanikumbuka[emoji23][emoji23][emoji23]
Tecno sio simuIlikuwa inanikera balaa watu wapo kwenye iphone 14 sisi wanatuandikia Infinix zetu majukwaani😂😂