Uke wenzaa kawaachia wanaoweza
Me na mtoto wa mtu sio shida zetu
Penzi kiapo tushajichongea jeneza
Ai papii vitamu tamu chombeza
Penzi liwashe kabisa likoleee
Ukipasua moyo wangu uko wewee
Likamate misumari ugongeleee
Si unajua navyokupenda weee
Dj aiiiiiiiii
Lenie View attachment 2359309