Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nasikia siku hizi mnaitwa "wanawake msio na muda na waume zenu" teh
Muda utatoka wapi kama wote ni ma breadwinner HS? Ili niweze kuwa na muda nae inabidi nikae nyumbani aniletee chakula, sasa saa 12 tunatoka nyumbani wote, nikitoka kazini hadi nifike nyumbani ni saa mbili kasoro. Tukifika yeye ananyooka kulala mimi naingia jikoni kupika.
Anakula, anarudi kulala.
Hapo naanza kuanza kumnyooshea nguo za kesho na za mtoto za shule ndio na mimi nikalale.
Naanza kushika namba saa ngapi
 
Back
Top Bottom