Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,348
- 176,143
Jamani jamani, natoka kazini mimiHahhaa anaenda outing huyo

Jamani jamani, natoka kazini mimiHahhaa anaenda outing huyo

Muda utatoka wapi kama wote ni ma breadwinner HS? Ili niweze kuwa na muda nae inabidi nikae nyumbani aniletee chakula, sasa saa 12 tunatoka nyumbani wote, nikitoka kazini hadi nifike nyumbani ni saa mbili kasoro. Tukifika yeye ananyooka kulala mimi naingia jikoni kupika.Nasikia siku hizi mnaitwa "wanawake msio na muda na waume zenu" teh







Hi 🖖Hello te
Nakuja mimi jamaniHahaha;
Njoo nikuhesabie miguu ya kitalu
Ulime mchicha.
Najua maana hata vyupi havibani tenaSasa wewe ukikonda unajuaje![]()



. 


Kisa cha kuninunia?nimekununia.
Kweli? Kama mara ngapi? Moja tuu au mbili?subiri ukishusha injini utanenepa
HahahahahahaSadaka za Leo wapi Dada Leo ijumaa
Utakuwa kijumbe wewe![]()
Dear hata usitamani kunenepa.Saaana, natamani kunenepa saaaaana. Yaaaani sanaaaaaaaa. Nakulaga michipsi kila siku lakini waapi.
Naweka blueband hadi kwenye mboga, mayonnaise, mayai ya kisasa, makuku ya kisasa lakini wapiii![]()
Kuanzia waniamini mimi jamaniUmekuwa mhazini kuanzia lini?
Hongera.Wewe una mwili kama wangu. Ukigoma kunenepa umegoma; ukiamua kufutuka hata niwe nina mfungo wa months unafutuka tu. Siku hizi nimeuacha tu unifanye unavyojisikia
Wewe furahi tuu jamaniIjumaa Leo![]()
Babe huwa hakusemi?Eeeh kisa cha kujichosha; sina habari nao


maana wanaume siku hizi bhana hawana haya, utasikia hivi mbona wewe haunenepi, umemeza malboro nini

Hii chuma ya kaunta mbona kama mtambo wa "tetenasi"
Haya hebu tafuta bar maid mmoja hapo weka ndani maisha yaendelee.
Najua maana hata vyupi havibani tena.
Halafu acha dharau, eti nikikonda najuaje![]()







Aah wapi 😂😂Hahahahahaha
Waimba kwaya twaenda kila siku