Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,467
- 203,085
🙏👍Una mwandiko mzuri...
🙏👍Una mwandiko mzuri...
Hapana jamanii
Mama aliniambia nisicheze na wanaume mimi





kabisa
Yaani unaweza ukakuta anatumia simu ya shangazi yake...ya kwake kazima
🙏👍Una mwandiko mzuri...
Hallelujah
NakaziaNgoja nimuendee![]()
Eliza 😂😂😂Wewe Eliza wewe hahaha
Sipo Kilema mimi ujuee
Tufanye next week bana nitakuwa townSi unakuwaga mtata sana kuonekana..
Leo unalo mama Naah

siyo wote lakini
Hukunielewa.
Nilichomaanisha mwanamke akiwa na muonekana mzuri halafu wahuni wakawa wana hit n run lazima ashikwe na hasira maana akijiangalia anajiona anastahili kuwekwa ndani lakini wahusika hawafanyi hivyo.
😂😂😂😂😂kwani rangi ya mtume si maana yake ni rangi natural au??
HuhIla ujue mama yako alicheza na mwanaume ndio ukazaliwa wewe...
So play men as much as you can..life is very short.
Kamwe usitumie kigezo cha uzuri kuoa/kuolewa otherwise utajikuta umeoa au kuolewa na tatizo zuri.
Hujambo lakiniii weweeNaona hutulii kabisa...
Unataka sindano ivunjikie ndani