Selfika na JF: Snap it. Show it

Unaturingishia ehh Ntiluseswa njoo hapa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu sema kweli.
Weeee shost hilo limama lipo hapahapaa sekfikaaa????? Tunachat nalooo tunacheka naloooo kila leooo??? Mbona hatareeeeeeee!!!
 
Nini tukifanya kinatibua furaha zenu?
Harafu jukumu la kupenda liko kwa mwanaume sio kwa mwanamke kwanza kupenda ni nini kupenda mtu ni kutenda mema pasipo kutarajia chochote kutoka kwa mtendewa ukiwa unampenda mtu haitakiwi utarajie chochote kutoka kwake mwanaume anatarajia ridhaa tu kutoka kwa mwanamke sio chochote
 
Mnatuchukuliaje watu wa Tecno jamani[emoji23][emoji174]
Infinix wamama?akiyanani.. Kumbe nilikuwa mama.


Ila katika simu zote,Itel hata bure sichukui.
Usiombe Uwe na mahusiano na mtu anayetumia tecno afu awe msukuma au muha sasa utajuta [emoji26][emoji26][emoji26]
 
👍👍
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mtu kanikatazaaa umbea, cha ajabu sasa umbea unanifata wenyewee na una nitiiiii.

Tulia kwanzaaaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…