Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
Mbona hapo pametuna? Umeficha nn babuView attachment 2357835
Siku moja moja sio mbaya unakutana na Wazee wenzako mnakula stori kama hivi kukumbukia Enzi.
Anza kujizoesha hili mapema ili ukifika umri wa Uzee kama wangu usipate shida ya upweke wakati huo Bibi anakuwa amekwenda kusalimia Wajukuu zake DSM 🙆
Hello Wednesday 🤗
Chukua tu sweetheart 💋💞💕😘
Hamna kitu chenye najua mie🤠🤠🤠 Ufafanuzi yamkini anajua ila anajifanya hajui
Huyo anavuta bangi sitaki.. weka dola niikopiChukua tu sweetheart 💋💞💕😘
😒😒😒 Sio bangi mpenzi.. Hiyo ni CigarHuyo anavuta bangi sitaki.. weka dola niikopi
Umefanya nirudi nyumbani nikavae Msuli wangu tu, hizi Suluali za vijana hazina adabuMbona hapo pametuna? Umeficha nn babu
Sema wa kishua usitupige madongo namna hii😂😂Mnajifanya wambea kumbe mna mashost wanafki 😂😂😂😂
Saiko yenu inasikitishaaa
Eti nyie ni chawa mnaochawiana 😂😂😂
Mshua was here bana
Kazi ziendelee
Msalimie mwanetu Carlos
Hii saa 7 na 8 kazi lazima iishe
Wewe usinichonje na kuchat wakati natakiwa kubizika 🏃♀️
Tule tukatembee au tukaone 🐆🐅🦁🦓🐫🦒🐘🦏
Sitaki kuamini babu yan pesa za pensheni ndio umeficha pale? Afu unaacha wajukuu wanapaukaUmefanya nirudi nyumbani nikavae Msuli wangu tu, hizi Suluali za vijana hazina adabu
Ndio umeanza kula? Au hapo ni katikati ya mlo?
Pozi hili nakumbuka mara ya kwanza nimekaa ni wakati napiga picha ya kuweka ukutani na Bibi yenu Mwaka 68, nimekumbuka mbali sana Mjukuu 🤪Hilo pozi sasa Babuu ake dooh
Seems Umetokelezeiyaaaaaaa mnoooo babuu!!
😂😂😂 kwendeni huko madebe yaso na kituSema wa kishua usitupige madongo namna hii😂😂
Carlos atakua busy kwenye ujenzi wa taifa
Umesharudi toka kule ulikoenda?
Niwie radhi Mjukuu, next time zikitoka nitahikisha zinakufikia. Hizi za Juzi niibiwa pale Tabata alikopotelea yule Diwani wa Kawe 🙈🏃🏃🏃Sitaki kuamini babu yan pesa za pensheni ndio umeficha pale? Afu unaacha wajukuu wanapauka
utuache ndio
Kwahiyo babu nawe unaendaga kufichwa Tabata? Tena si ajabu ni pale Tabata Bima wenyewe wanapaita Tabata Baima 🥹 pakakubamizia hadi bajeti ya wajukuuNiwie radhi Mjukuu, next time zikitoka nitahikisha zinakufikia. Hizi za Juzi niibiwa pale Tabata alikopotelea yule Diwani wa Kawe 🙈🏃🏃🏃
Pozi matata sana hilo babuu Ulivoachia miguu hapo kati sasa pako relaxxeeedd penyewe hadi aibuuu nimeona mjukuu Hakyanani😉😉😉🤔🤔Pozi hili nakumbuka mara ya kwanza nimekaa ni wakati napiga picha ya kuweka ukutani na Bibi yenu Mwaka 68, nimekumbuka mbali sana Mjukuu 🤪