Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Weeehhh Im happy with Tonniah kwanza Misri nishatokaaa I'm a born again person sikati hekaheka na Mahondaw wao!! hahah
Tuendelee kuselfika Mkuu
Ahahahha umenikumbusha Hadith ya sungura baada ya kuzirukia ndizi bila mafanikio akaamua kusrma sizitaki mbichi hizi..

Yes,ya kale yamepita tuselfika,lunch time sasa

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Hao watu nao mafriji yao hayagandishi kha 🤣🤣

Nasubiria hiyo next month nikuone kama utabadilika kweli.
Kuhusu wa kishua aah hilo linajulikana, halipingiki
Mnajifanya wambea kumbe mna mashost wanafki 😂😂😂😂
Saiko yenu inasikitishaaa
Eti nyie ni chawa mnaochawiana 😂😂😂


Mshua was here bana
Kazi ziendelee
Msalimie mwanetu Carlos

Hii saa 7 na 8 kazi lazima iishe
Wewe usinichonje na kuchat wakati natakiwa kubizika 🏃‍♀️
 
Ahahahha umenikumbusha Hadith ya sungura baada ya kuzirukia ndizi bila mafanikio akaamua kusrma sizitaki mbichi hizi..

Yes,ya kale yamepita tuselfika,lunch time sasaView attachment 2357810

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Umeona eeehhhhhh!!!!! Santo sana kwa blessings hakika mchana wangu unaenda kuwa bareeeeeeeedaaaa kabisa!!
Wabheja sana ✌️✌️
 

Ila didi ake umekaa kishari shari ujue

Asa mambo ya kukujadili sijui vikao yametoka wapi lakini.
Mbona unakua na uswahili hivo akati unakaa ushuani
Kuna uwezekano Depal akawa anapiga mbege mchana maana hachelewi kukichafua

Mwandiko wake unajaaga kisirani Sana huyu mmeru

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom