Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,305
Santo sana kwa samaree fupiiii iliojitishelezaa!!Alivyojaribu tu kubadili Jina,Jina lake likachukuliwa na mtu mwingine
Kuja kurudisha ikashindikana.
Wabheja sana!


Santo sana kwa samaree fupiiii iliojitishelezaa!!Alivyojaribu tu kubadili Jina,Jina lake likachukuliwa na mtu mwingine
Kuja kurudisha ikashindikana.


Ndio hiyo mama Kimbo inarudiwa🤣🤣🤣😂😂 mara ya mwisho namuona ni mwaka jana kwenye saluni ya mama kimbo..
Subiri nikiwa tajiri nitaweka visimbuzi vyote 😂
Na muda wenyewe ninao mdogo
Achangamshe jukwaa😂😂😂Kuchambana tena? Why?
Hovyoo kabisaNg'oombeeee 🤠🤠🤠
Ukilia unapata hepa? Ukilia anarudi? Hovyoooo😏😏😏
Tusamehe haturudii tena kaka 😂Akili ziwakae vizuri, mnakuwa kama kondoo 😒😒😒
Mambo za marudi marudio zinaboaNdio hiyo mama Kimbo inarudiwa🤣🤣🤣
Afu kwanini huko kwenu mnapenda kuwekewa tv? 🤣Achangamshe jukwaa😂😂😂
Nimemuona tu hapa kwenye igizo lao nikacheka.
Hovyoo kabisa
Ila ndio hatuchoki kufatilia na kulilia, pengine anaweza rudi kimasihara 🤣🤣
Hasara yenu.. Wanawake wemeharibu maisha hata hatma ya maisha yao kwa ajiri ya upumbavu wa kuendekeza sijui ndio mnaita mapenzi.. How how 😱😱😱😱 mnatia hasira nyie watuuTusamehe haturudii tena kaka 😂
Snitch uendelea kuwa snitch 🤣🤣🤣Utalizwa mala mbili na gonjwa juu.. Hata Mungu alikuwa na uwezo wa kumrudisha lucifee sehemu yake, ila akampotezea mazima, wanasema snitch huendelea kuwa snitch tuu.. Pole kichwa maji 🤠🤠🤠🤠
Hehehee haloo 🤣🤣🤣Hasara yenu.. Wanawake wemeharibu maisha hata hatma ya maisha yao kwa ajiri ya upumbavu wa kuendekeza sijui ndio mnaita mapenzi.. How how 😱😱😱😱 mnatia hasira nyie watuu
Ugonjwa sio mwisho wa dunia ujue. Af sio wote wanaopata ni wamependa jamaniUtalizwa mala mbili na gonjwa juu.. Hata Mungu alikuwa na uwezo wa kumrudisha lucifee sehemu yake, ila akampotezea mazima, wanasema snitch huendelea kuwa snitch tuu.. Pole kichwa maji 🤠🤠🤠🤠
🤠🤠 Ni vyema kama umesikia na kufanyia kazi, ukishupaza shingo itavunjikaaa... Kuna mambo mazuri kuliko mapenziSnitch uendelea kuwa snitch 🤣🤣🤣
Kichwa maji nimesikia 😭 asantee jamani
Kichwa maji kama kichwa maji 😂😂Snitch uendelea kuwa snitch 🤣🤣🤣
Kichwa maji nimesikia 😭 asantee jamani
Haya tuwekee vocha 🤣🤣 tupoze machungu na makasiriko🤠🤠 Ni vyema kama umesikia na kufanyia kazi, ukishupaza shingo itavunjikaaa... Kuna mambo mazuri kuliko mapenzi
🤠🤠🤠 Mie sipigi mtu, hayo hayo mnayo ya value yana wanyoosha kuliko kwata la JWTZHehehee haloo 🤣🤣🤣
Tupige basi
Debe tupu 😭😭😭Kichwa maji kama kichwa maji 😂😂
Vocha mie huyu 🙍♂️🙍♂️🙍♂️Haya tuwekee vocha 🤣🤣 tupoze machungu na makasiriko
Na tunachakaaa🤠🤠🤠 Mie sipigi mtu, hayo hayo mnayo ya value yana wanyoosha kuliko kwata la JWTZ
Yea nyoyomaVocha mie huyu 🙍♂️🙍♂️🙍♂️