Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapa jamani, ndio mzizi wa fitina umejificha 😂😂
The Bible say.. Renew your mind kwa neno la Mungu na matendo mazuri, sio ma mikunjo na happy moments ndio maana mnaumizwa, mnashindwa memorize mambo yenye faida, manaanza kumbukukia raha za mda mfupi mlizopena shubamiti kabisa 🤠🤠🤠
 
Akili zilimezwa na mapenzi 🤣🤣🤣🤣😭😭

Yule mtu tulipendana wee 😍
At least I’ve a story to tell on how the genuine Love is..

Lenie Tinsley pendeni jamani, msiogope kuachika
Haikuwa genuine love ndio maana mliachana wapuuzi nyie 🤠🤠 wenye genuine wanapenda toka chekechea hadi wanazeeka na kufa pamoja
 
Saint Anne what happened back then hadi antronia akabadili I'd? Kuna lawama nimezisikia huku alafu kaniangushia jumba bovu mm na wewe
Kama umesikia hizo sio shida zanguuuu!! kutaka kujua what happened pia mie naona hayanihusuuuu!! Kila la kheri katika kupata hizo taarifa mkuu hakuna kabayaaa. Enjoy the News!!!
 
The Bible say.. Renew your mind kwa neno la Mungu na matendo mazuri, sio ma mikunjo na happy moments ndio maana mnaumizwa, mnashindwa memorize mambo yenye faida, manaanza kumbukukia raha za mda mfupi mlizopena shubamiti kabisa 🤠🤠🤠
Aki si umeamua kutuchana makavu live leo 😂
 
Back
Top Bottom