Mange anapatikanaza kiwaki, chimbozzz km chimbozz yaan aaaah nkaona wee, siweziiiii.
Kuna hiyo App sasa ika install fresh, kufunguka sasa, ni mtihan, kila nkijaribu inagomaaa, kheeeh nkashindwa mie.
Hazina kazi Wala maanaSijui watu huwa wanazichukuliaje hela za wenzao![]()
Unaenda kazini na bodaNishaanza kuteseka hapa nipo kwa bodaboda nakula vumbi kama lote😂
Wakishua wako ndani ya mkoko full acUnaenda kazini na boda
Raha iliyoje wakishua
Maneno ya hekimaMisingi ya kuishi Pamoja!
.
1. Ukifika Sehemu... Salimia
2. Ukiondoka Sehemu..... Aga
3. Ukisaidiwa....... Shukuru
4. Ukiahidi...... Tekeleza
5. Ukikosea.... Omba Msamaha
6. Kama Hujaelewa..... Uliza
7. Unacho... Gawa Kwa Wengine
8. Huna.... Usione Donge
9. Ukivunja.... Lipa
10. Kama Hupendi...... Heshimu
11. Ukipendwa... Onesha Upendo
12. Huwezi Kusaidia... Usisumbue
13. Ukiharibu... Rekebisha
14. Ukikopa.... Lipa
15. Wakikuuliza .... Jibu
16. Ukiwasha....... Zima
17. Ukifungua...... Funga
18. Ukinunua.... Lipa
19. Ukichafua.. Safisha
20. Ukipungiwa..... Punga
21. Ukipewa.... Shukuru
22. Ukiazima... Rudisha
''Ukizifuata kanuni Hizi, Utaona Jinsi Utakavyoishi Na Watu Vizuri Hata Kama Huna Hela, Hii Ni kwa Binadamu Wote Hata Kama Ni Kiongozi'''
Sent from my LM-V500N using JamiiForums mobile app
🤣🤣Wakishua wako ndani ya mkoko full ac
Tugawie vocha basi hapo namba 7 mjomba nchumali si unacho? 😂🤸♂️Misingi ya kuishi Pamoja!
.
1. Ukifika Sehemu... Salimia
2. Ukiondoka Sehemu..... Aga
3. Ukisaidiwa....... Shukuru
4. Ukiahidi...... Tekeleza
5. Ukikosea.... Omba Msamaha
6. Kama Hujaelewa..... Uliza
7. Unacho... Gawa Kwa Wengine
8. Huna.... Usione Donge
9. Ukivunja.... Lipa
10. Kama Hupendi...... Heshimu
11. Ukipendwa... Onesha Upendo
12. Huwezi Kusaidia... Usisumbue
13. Ukiharibu... Rekebisha
14. Ukikopa.... Lipa
15. Wakikuuliza .... Jibu
16. Ukiwasha....... Zima
17. Ukifungua...... Funga
18. Ukinunua.... Lipa
19. Ukichafua.. Safisha
20. Ukipungiwa..... Punga
21. Ukipewa.... Shukuru
22. Ukiazima... Rudisha
''Ukizifuata kanuni Hizi, Utaona Jinsi Utakavyoishi Na Watu Vizuri Hata Kama Huna Hela, Hii Ni kwa Binadamu Wote Hata Kama Ni Kiongozi'''
Sent from my LM-V500N using JamiiForums mobile app
Ulizaliwa wakat shetan alikuwa na sherehe yake huko kuzimun maana una maneno kama mganda aliye filiska





cuzoooooo ntakuchambaa had pumbu zako zitoe jashoo, mxieeeeeeeeew